Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,813
- 4,545
Kocha mkuu wa Taifa Stars Ettiene Ndairagije ametaja majina ya wachezaji 27 kutoka katika vilabu mbalimbali vya ndani na nje ya Tanzania. Taifa Stars inataraji kukabiliana na Equatorial Guinea pamoja na Libya katika kutafuta tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2021.
Wachezaji walioitwa ni;
Wachezaji walioitwa ni;
: