Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Rais Kikwete ametii agizo la Dr. Slaa la kupunguza bei ya bidhaa muhimu na kutoilipa DOWANS. Daktari huyu alimpa JK siku tisa ili atatue matatizo hayo. JK alijaribu kulialia ili aongezewe muda lakini Boss wake aligoma. Mwisho wa siku ametii AMRI halali ya Slaaa!!!
SWALI:-
KATI YA KIKWETE NA DR. SLAA NANI KIONGOZI WA NCHI?
NA KWAMBA:- KAMA HAYO YALITOKEA JE, NI HALALI KUSEMA KIONGOZI WA NCHI SI LAZIMA APIGIWE SALUTI; AMILIKI KAMBI ZA JESHI NA TAASISI ZA SERIKALI?
SWALI:-
KATI YA KIKWETE NA DR. SLAA NANI KIONGOZI WA NCHI?
NA KWAMBA:- KAMA HAYO YALITOKEA JE, NI HALALI KUSEMA KIONGOZI WA NCHI SI LAZIMA APIGIWE SALUTI; AMILIKI KAMBI ZA JESHI NA TAASISI ZA SERIKALI?