Tanzania nchi ya umeme wa bei chee zaidi EAC

jiulize na wao wana luku au meter za kawaida maana mjue luku spidi yake inavyotafuna umeme mbona wao hawajakubali kuwekewa luku
 
IMG_4680.JPG
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu

Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,​

" Hakuna kama Samaia "​



Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )

Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,

Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-

1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6

2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4

3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2

4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8


Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,

Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,

NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,

"
Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "

View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
 

Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,​

" Hakuna kama Samaia "​



Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )

Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,

Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-

1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6

2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4

3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2

4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8


Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,

Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,

NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,

"
Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "

View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
 
Jamani huyu jamaa hatuwezi kumpigia petition afungiwe hii account yake. Maana anaboa sana.
 

Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,​

" Hakuna kama Samaia "​



Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )

Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,

Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-

1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6

2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4

3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2

4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8


Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,

Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,

NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,

"
Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "

View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 

Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,​


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Najaribu kuwaza kwa Sauti kama sio Rais Samia Suluhu leo Tanzania tungekuwa wapi?
 
Back
Top Bottom