Tanzania nchi ya pili Afrika kwa Uhuru wa kutoa maoni baada ya SA iko chini kidogo ya UK, CHADEMA mnalijua hili

#happy birthday Tanganyika

Rais wangu Samia Suluhu Hassan anawezaje kujenga SGR kilometa 1,063 kwa TZS 10.1T | SG kwa TZS 6.5T na miradi mingine huku akiachilia vicheko kwa makundi mbalimbali ya watanzania,​

" Hakuna kama Samia "​


Ukichukua gharama za miradi miwili mikubwa ya SGR na SG|JNHPP inayoendelea kwa sasa yaani SGR Isaka -Mwanza kilometa 341 kwa TZS 3.02trl ,Makutupora-Morogoro kilometa 422 kwa TZS 4.4trl ,Dar -Morogoro kilometa 300 kwa TZS 2.7trl na SG|JNHPP $2.9BL au TZS 6.55trl Jumla yake ni Tshs 16.6trl achilia mbali miradi mingine mipya na ile iliyoachwa na Hayati Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli miradi hii yote Rais Samia Suluhu Hassan anaziendeleza tena kwa BOQ zilezile,
===
Kutoka kwa Rais Samia kinachonivutia zaidi ni hivi vicheko kwa haya makundi mbalimbali najiuliza amewezaje yote haya yaliyowashinda watangulizi wake tena waliojiita wanaume wa shoka?!
===
Kicheko cha Rais Samia na wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Mpaka Rais Samia anaingia madarakani zaidi ya watoto wa masikini elfu 11 hawakupewa mikopo,Leo tayari ameongeza Tshs 106BL sawa na 23% yaani kutoka Tshs 464BL FY2020|21 hadi 570BL FY2021|22 na kufanya kila mtoto wa masikini aliyefaulu kwenda chuo kikuu kupatiwa mkopo bila kujali historia ya alikosomea,
===
Rais Samia amefuta kabisa ile 6% ya ada ya thamani ya mkopo ( Value Retention Fee-VRF ) kwenye mikopo hiyo na Sasa wanufaika hao watakatwa 9% tu ( single digits) FY2021|22 kutoka 15% ya FY2020|21,Kwa lugha rahisi take home za watu hawa zimepaa kwa 6% nivicheko kila kona ya nchi na Rais Samia Suluhu Hassan,
===
Kicheko cha Rais Samia na Wafanyakazi,Sote tunafahamu,kwa miaka mitano ( 5 ) mfululizo tumeshuhudia wafanyakazi wa Umma hawajapandishwa vyeo|madaraja,lakini ndani ya miezi hii michache mama ameshatoa TZS 509BL, kwenye bajeti ya FY2021|22 Yaani 449BL za madaraja|vyeo na 60BL za malimbikizo ya mishahara na tayari Pesa hizi zimeleta vicheko kwa wafanyakazi,
===
Rais Samia amepunguza kodi (PAYE) toka 9% FY2020|21 mpaka 8% hivi sasa,Kwa utendaji huu hivi Wafanyakazi mnamtaka nani zaidi kama sio Rais Samia? kwa lugha rahisi FY2021|22 ameongeza mishahara ya wafanyakazi wote wa Serikali na binafsi kwa 1% kwa kuwarudishia hiyo 1% ya mishahara yao, na kwakufanya hivyo Serikali itatumia|itapoteza kiasi cha Tshs 14.1781BL kwenye bajeti yake ya FY2021|22 fedha ambayo itarudishwa kwa wafanyakazi kama nyongeza ya mishahara yao
===
Kicheko cha Rais Samia na wasio Ajiriwa,kwa mara ya mwisho ilikuwa FY2015|16 wakati wa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alipoachilia ajira mpya elfu 52 trh 01|05|2015,Leo ni miaka mitano imepita ila kwa miezi michache ya Mama Samia tunashuhudia tena ajira mpya za Serikali elfu 40 kwa FY2021|22 kwa gharama ya Tshs 239BL na 120BL kwaajili ya kubadili muundo wa Utumishi,
===
Maajabu zaidi ya Mama Samia tayari amesajili miradi mikubwa mipya 93 yenye thamani ya $1.6BL karibu TZS 3.23trl ambayo nayo itaajiri watu 23,600 na kufanya ndani ya hivi vimiezi vichache Rais Samia atatoa Jumla ya nafasi 53,600 za ajira achilia mbali miradi mingine mingi ya sekta binafsi|Umma inayoendelea kutoa ajira lengo likiwa ni kufikia ajira 8M ifikapo mwaka 2025 kama Ilani inavyotaka,
===
Kicheko cha Rais Samia Majimboni,Bila kujali ukubwa wa jimbo Rais Samia FY2021|22 ameshatoa TZS 132BL sawa na Tshs 500M katika kila Jimbo kwa majimbo yote 264 kama fedha za maendeleo ya Jimbo hizi ni mbali na fedha za mfuko wa Jimbo,fedha hizi zimerudisha tabasamu kwa Wabunge hasa wa Majimbo,
===
Mama Samia ametoa tena TZS 322.158BL kama bajeti ya nyongeza kwaajili ya Ujenzi wa Vyumba 10,000 vya madarasa Zahanati 555,Vituo vya afya 121,
===
Rais Samia hakuishia hapo bajeti ya TARURA pia ameiongeza kwa 254% yaani kutoka 273BL FY 2020|21 hadi 966.43BL FY2021|22 ili kumaliza kila barabara korofi Mjini na Vijijini|,Nimwendo wa vicheko tu Watanzania tumtake nani kama sio Samia?
===
Kicheko cha Rais Samia na wafanyabiashara|Wawekezaji, Mhe Rais Samia Ndio rais pekee aliyetangaza hadharani kuwa hahitaji kodi za Kishetani na akafuta jumla ya kodi|tozo zote kandamizi zipatazo 232 FY2021|22 bila kujali hasara ya Tshs 55.49997BL ambayo Serikali yake itapata kwa kuondoa tozo|kodi hizo nia yake aongeze idadi ya walipa kodi kutoka 3.4M waliopo na matokeo tayari wote tumeanza tumeyaona .
===
Nchi hii tangu tupate uhuru sijawahi kusikia tozo|kodi zaidi ya 230 zikifutwa kwa kwamkupuo Kama ambavyo mama ameachilia kicheko hiki kwani hataki kabisa Tax economy hakika kesho yetu ni bora sana,
===
Pamoja na kukataa kodi za kishetani na kuondoa tozo kandamizi bado Miradi yote ya Watangulizi wake anaiendeleza sawasawa ikiwemo SGR $4.64BL au TZS 10.2trl,SG $2.9BL au TZS 6.5trl,Ununuzi wa ndege mpya,barabara zote ujenzi unaendelea, madaraja yote,meli zote,
===
Pamoja na haya yote kufanyika bado Wafanyakazi wetu ni vicheko,Wafanyabiashara|wawekezaji wetu ni vicheko,bodaboda wetu ni vicheko, machinga wetu ni vicheko,wanafunzi wetu hasa wa elimu ya juu ni vicheko, wafugaji wetu ni vicheko,wakulima wetu ni vicheko, Wapinzani nao ni vicheko hata wewe unayesoma naamini, Tayari na wewe unakicheko chako umecheka na Mama Samia Suluhu
===
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni mama deserves better Wazalendo wote tumtie moyo, mpaka mwaka 2030 tutashuhudia maajabu, Tuombe uzima Tu"
===


View attachment 2006380
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 

Tanzania ni nchi ya pili barani Afrika kwa kuwa na Uhuru mkubwa wa kutoa maoni baada ya Africa kusini iko chini kidogo ya Uingereza||​

Je! CHADEMA mnalijua hili?!​

" Hakuna kama Samia "​


GOODNEWZ: Tanzania rasmi nchi ya pili Barani Africa kwa uhuru wa kujieleza|kutoa maoni baada ya Africa ya kusini,Hakika Rais Samia niwakupongezwa kama kweli nia yetu ni kuiona nchi yetu Kimataifa,

Lakini pia Tanzania imeshika nafasi ya 17 duniani kati ya nchi zote 193 wanachama wa UN wanaoruhusu watu wao kutoa maoni au kujieleza kwa kuwa na vyombo huru vya habari,Hakika Tanzania tunakwenda Vizuri,

Nikwamara ya kwanza nchi yetu kufikia kiwango hiki cha juu cha watu kutoa maoni yao kwa uhuru na uwazi kabisa tangu tupate uhuru miaka 60 iliyopita na tarajieni misaada na mikopo kedekede kwa rekodi hii very soon,

Je, Kwamwendo huu kunahaja ya Upinzani kuweka mgombea Urais mwaka 2025!!?


👇🏿👇🏿👍🏿

Countries With Freedom Of Speech 2021
_______________________________

Freedom of speech is the right for an individual or community to express any opinions without censorship or restraint and without fear of retaliation or legal sanction. This is not limited to “speech” specifically as it includes other forms of expression. There is an ongoing debate about where to draw the line between freedom of speech and offensive comments. Especially in the age of social media, concerns have arisen over whether freedom of speech is causing more harm than it is good.

Freedom of speech is a right preserved in the United Nations Universal Declaration of Human Rights and is granted formal recognition by the laws of most nations; however, the degree to which this right is upheld varies significantly from one country to another. Freedom of speech is just one of the many freedoms that the freest countries in the world guarantee.

In the United States, freedom of speech is more widely accepted than in any other country. A 38-nation Pew Research Center survey conducted in 2015 found that Americans are among the most supportive of free speech, freedom of the press, and the right to use the Internet without government censorship. Furthermore, Americans are much more tolerant of offensive speech than people in other nations. In general, the survey showed that countries in the Western Hemisphere are more tolerant than countries in the Eastern Hemisphere.

freestar
Researchers asked participants of 38 countries a series of five questions with answers ranging from 0-8. Zero represents the least support for freedom of expression, and 8 represents the most supportive for freedom of expression. A median score was calculated for each country.

The United States received the highest score of 5.73. Freedom of speech is no stranger to freedom of speech, as the First Amendment protects freedom of speech: “Congress shall make no law… abridging freedom of speech.” In the U.S., freedom of speech includes the right not to speak (specifically, the right not to salute the flag), to engage in symbolic speech, to use certain offensive words and phrases to convey political messages, and to advertise commercial products and professional services (with some restrictions).

Freedom of speech does have restrictions. These include, but are not limited to, libel, slander, incitement, copyright violation, trade secrets, and perjury. A person may not incite action that would harm others, such as shouting “fire” in a crowded theater. A person may not make or distribute obscene materials, and students may not make an obscene speech at a school-sponsored event.

freestar
Poland was the second-most tolerant with a median score of 5.66, followed by Spain and the United Kingdom with median scores of 5.62 and 4.78, respectively.

While many nations acknowledge freedom of speech as a fundamental right and allow their people to freely voice their opinions and ideas, this is not the case in some nations. Some of the most censored nations globally are North Korea, Burma, Turkmenistan, Equatorial Guinea, Libya, Eritrea, Cuba, Uzbekistan,
Syria, and Belarus. Citizens of these countries are virtually isolated by authoritarian rulers who see access to information as a threat to their rule. The media is silenced, and highly censored and restrictive laws, fear, and intimidation are used to prevent the spread of information

View attachment 1940650

View attachment 1973726
Najaribu kuwaza kwa Sauti kama sio Rais Samia Suluhu leo Tanzania tungekuwa wapi?
 
Kwa speed hii ya Rais Samia, Tanzania huenda ikaibua mabilionea wapya 100 miaka miwili ijayo,Tufanye kazi kwa bidii zaidi
 
"Team JF "

Kama maambukizi ya COVID -19 yanaongezeka siku hadi siku, nilazima kuchanja kwa hiari ili kujinga,

#Kuwa Supa kachanje,
 
"Team JF "

Kama maambukizi ya COVID -19 yanaongezeka siku hadi siku, nilazima kuchanja kwa hiari ili kujinga,

#Kuwa Supa kachanje,
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais wa kweli basi ni sasa, Mungu tujalie heri kuelekea 2025|30
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Back
Top Bottom