Jesusie
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 1,366
- 719
👇🏿👇🏿👇🏿Watanzania hatujui tunachotaka. Juzi tu hapa walikuwa wanaimba bora nikae kimya, Leo wanatukana na kupinga kila linalofanyika na bado watasema hakuna Uhuru wa kutoa maoni
Miezi sita ya Rais Samia,
Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona
#KAZIIENDELEE