Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,476
- 215,318
πππππMkuu situliambiwa kila mkoa umeanzisha viwanda 400?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππMkuu situliambiwa kila mkoa umeanzisha viwanda 400?
CCM ni hovyo snπππππ
Inawezekana anaishi nje ya nchi miaka mingi..Eeeh ndiyo nawafahamu wanaitwa Pop Vriend wana bonge la kiwanda. Pia wapo wanaitwa Africasia wako Unga Limited eneo la viwanda, kuna pia wanaitwa Suba. Bado hatujataja Meru company ambao wana mashamba ya mbegu mpaka huko Kigoma! Huyu mleta mada amekurupuka!
Kuliko kutumia mbegu za Seed Co ya Tz, bora upande mahindi ya kienyeji. Hiyo mbolea ya Minjingu itakuwa inafanya vizuri huko kijijini kwako.Minjingu ni cha wachina? SEED co zinatoka Zambia?
Kiwanda cha mbolea tunacho Minjingu buana
Nakubali hiituna ndege, fly over,sgr na wabunge wote ni chama chetu ccm. mambo ya mbolea mbegu sijui nini sio kipaumbele chetu tunataka muendelee kuwa maskini ili ccm itawale milele.
mgambire ccm hoyeeeeee.
Sisi wakulima Lindi imetuulia korosho zetuKuliko kutumia mbegu za Seed Co ya Tz, bora upande mahindi ya kienyeji. Hiyo mbolea ya Minjingu itakuwa inafanya vizuri huko kijijini kwako.
Nimeandika kwa kifupi sana, wakulima hasa wa ukanda wa kusini wataongezea zaidi.
mkuu achana nao hawa wapiga porojo nimeshangaa wanasema hakuna kiwanda cha minjungusorry even though mm sio mwanasiasa. niseme tu minjingu kuna kiwanda cha muda mrefu tu. labda ww ndio ulikuwa hukifaham
Acha basi upotoshaji? Minjingu wanazalisha mbolea asilia yenye virutubisho vya phosphorus, ni mbole ya kupanda kama ilivyo TSP na DAP. Karasinga alikuwa anachakachua kwa kuweka hiyo mbolea kwenye mifuko ya Kenya ili ionekane imetoka Kenya na siyo kwamba alikuwa ana repackage! Hii ilikuwa hujuma kwa nchi!Mama D, kiwanda hiki kilimapata kasheshe kubwa mara tu JPM alipoingia madarakani awamu ya 5. Mifuko tu ya ku-pack hiyo mbolea ilikuwa ilichapishwa nchi jirani!! Kwa taarifa, kiwanda hiki kinafanya repackaging! Hakizalishi mbolea!!
Sasa yeye anakuja bila data sisi tumfanyeje sasa? Hawa ndio wanatufanya wapinzani waonekane mazwazwa kumbe wana akili timamu kabisa!! Kila kitu majitu yamezoea kubeza tu bila kufanya utafiti wa kutosha! Na kweli amelikimbia bandiko lake!!Ona sasa mmemfanya mtoa kakimbia
nimekuelewa naona ana sononamkuu tafadhali iondoe bangi hapo ...psychedelic drug ...Dawa yenye tiba nyingi Sana kiafya mkuu..
Huyo ana sonona...ana stress za maisha na kupandishiwa vifurushi ...dawa Ni kumpuuza ..
Response ya mama d nimeipenda.
Ni vyema Sana post zinapoaandaliwa humu ziwe zinafanyiwa uchunguzi wa kina na wahusika..
Mbegu na mbolea Tz zipo zinazalishwa Ila Tatizo Ni Bei....
Unakuta huyo mfokaji na Mtoa mada hata propagation and spacing ya mahindi hajui ..
Tumpuuze tuu.
Nimecheka aiseeSasa yeye anakuja bila data sisi tumfanyeje sasa? Hawa ndio wanatufanya wapinzani waonekane mazwazwa kumbe wana akili timamu kabisa!! Kila kitu majitu yamezoea kubeza tu bila kufanya utafiti wa kutosha! Na kweli amelikimbia bandiko lake!!