Tanzania nchi ya maajabu, 70% na zaidi inategemea kilimo na haina kiwanda cha mbolea,mbegu wala kutengeneza trekta

Minjingu ni cha wachina? SEED co zinatoka Zambia?
Dada humu ndani kuna mijitu ina hasira zao, yanajiropokea hawajui hata hizo bidhaa zinakaguliwa na TPRI, TFDA,TRA nk eti zinaingizwa nchini
 
Hizi data uwa za uwongo kuwa Watanzania aslimia 80 ni wakulima, tungekuwa tulisha dunia nzima.
 
Umeandika kufurahisha wajinga wenzio! Kama huna taarifa sahihi bora ukanyamaza aiseee! Unajua ubora wa mbolea ya Minjingu wewe? Ulishawahi kusikia kitu inaitwa ASA yenye makao yake makuu pale Morogoro kituo cha Abood? Unafikri wana kiwanda cha ugoro wale? Eti hakuna vyuo vya kutafiti mbegu, seriously? Huna taarifa sasa wewe! Unafikri TARI wana jukumu gani hapa nchini? Au hata hujui maana ya TARI? Pole yako naona umekurupuka!
 
Naliendele Mtwara hawazalishi tena mbegu za mikorosho?
Achana na hili bumunda mkuu, halina taarifa sahihi limekurupuka tu! Naliendele tena wanazalisha ufuta, karanga, mihogo na hizo korosho. Bado kuna vituo kama Ukirigulu, Uyole, Maruku, Kibaha, Mikocheni, n.k vyote hivyo vinatafiti mbegu! Pia kuna makampuni kibao ya uzalishaji mbegu
 
Achana na hili bumunda mkuu, halina taarifa sahihi limekurupuka tu! Naliendele tena wanazalisha ufuta, karanga, mihogo na hizo korosho. Bado kuna vituo kama Ukirigulu, Uyole, Maruku, Kibaha, Mikocheni, n.k vyote hivyo vinatafiti mbegu! Pia kuna makampuni kibao ya uzalishaji mbegu
Arusha kuna jamaa wanazalisha mbegu mbalimbali, matikiti (properly packed kwenye makopo), hoho za rangi mbalimbali n.k
 
Hakuna kiwanda cha Minjingu ni blah blah za kilimo kwanza na mapambio yake. Kwanza hakuna mkulima anataka iyo sumu
sorry even though mm sio mwanasiasa. niseme tu minjingu kuna kiwanda cha muda mrefu tu. labda ww ndio ulikuwa hukifaham
 
Arusha kuna jamaa wanazalisha mbegu mbalimbali, matikiti (properly packed kwenye makopo), hoho za rangi mbalimbali n.k
Eeeh ndiyo nawafahamu wanaitwa Pop Vriend wana bonge la kiwanda. Pia wapo wanaitwa Africasia wako Unga Limited eneo la viwanda, kuna pia wanaitwa Suba. Bado hatujataja Meru company ambao wana mashamba ya mbegu mpaka huko Kigoma! Huyu mleta mada amekurupuka!
 
NILISHAM
Pole sana,matusi hayo hayakubaliki.
Huyo mtu anastahili ban haraka sana.
Namripoti.
-REPORT naona ni bhange na hang over maana kaanza kumshambulia Mama wa watu akikituhumu na chama wala mama hahusiki nacho
 
Ina maana viwanda vyote vilivyojengwa na serikali ya awamu ya tano unataka kusema hivyo hakuna...
 
Eeeh ndiyo nawafahamu wanaitwa Pop Vriend wana bonge la kiwanda. Pia wapo wanaitwa Africasia wako Unga Limited eneo la viwanda, kuna pia wanaitwa Suba. Bado hatujataja Meru company ambao wana mashamba ya mbegu mpaka huko Kigoma! Huyu mleta mada amekurupuka!

Wengine ni RIJIK ZWAAN nao wapo Arusha wana mashamba ya mbegu za matikiti, nao wako vizuri sana.
 
Eeeh ndiyo nawafahamu wanaitwa Pop Vriend wana bonge la kiwanda. Pia wapo wanaitwa Africasia wako Unga Limited eneo la viwanda, kuna pia wanaitwa Suba. Bado hatujataja Meru company ambao wana mashamba ya mbegu mpaka huko Kigoma! Huyu mleta mada amekurupuka!

Bado kile kituo cha SADC bado HORTANZIA japo hawa mbegu yao haionekani Tz n.k
 
NILISHAM

-REPORT naona ni bhange na hang over maana kaanza kumshambulia Mama wa watu akikituhumu na chama wala mama hahusiki nacho
mkuu tafadhali iondoe bangi hapo ...psychedelic drug ...Dawa yenye tiba nyingi Sana kiafya mkuu..
Huyo ana sonona...ana stress za maisha na kupandishiwa vifurushi ...dawa Ni kumpuuza ..
Response ya mama d nimeipenda.

Ni vyema Sana post zinapoaandaliwa humu ziwe zinafanyiwa uchunguzi wa kina na wahusika..
Mbegu na mbolea Tz zipo zinazalishwa Ila Tatizo Ni Bei....
Unakuta huyo mfokaji na Mtoa mada hata propagation and spacing ya mahindi hajui ..
Tumpuuze tuu.
 
Market share kwenye mbegu za ndani bado ndogo sana. Minjingu haijakaa kibiashara sana na zamani ilikuwa ikiuzwa ikiwa ghafi , yaani inachimbwa na kupakiwa kwenye mifuko moja kwa moja. Ikiwa ghafi utendaji kazi wake huwa ni wa tararibu sana, wasingeweza kushindana sokoni na DAP. Kingine walikuwa na mbolea ya kupandia pekee ila kwa sasa kidogo wamebadilika na kuleta toleo jingine lililoboreshwa wanaita minjingu nafaka ingawa kukubalika miongoni mwa wakulima bado sana, wanahitaji nguvu kubwa sana kuitangaza.
Mijingu tatizo lao wamejiingiza kwenye siasa sn badala ya science
 
Back
Top Bottom