dokolombwike
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 373
- 615
Mi mwenyewe bado nahangaika hapa kupata hiyo 7Mkuu hii hesabu ya 2 na 4 kuja 7 mbona sijaielewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mwenyewe bado nahangaika hapa kupata hiyo 7Mkuu hii hesabu ya 2 na 4 kuja 7 mbona sijaielewa?
Vi-wonder si ndo hivyo,au ulitegemea kile cha "Nyumbu" na UFI pekee?Wakuu
Ukijaribu kuangalia kwa umakini mfumo wetu wa kodi ni wakijinga sana na hautotusogeza mbele.
Gari kwa Tanzania ni Anasa tena anasa kubwa sana.
Unanunua gari milioni tano eti uandae na kodi milioni tano nyingine.
Hii sio sawa na walioweka hiyo kanuni kwenye kikokotoo naona wao haliwagusi.
Watu wanaponunua magari kikubwa yawe yale yenye ubora tayari mzunguko wa mafuta utaongezeka na huko wewe kama serikali utakusanya kodi pia ya kutosha.
Kodi inapokua juu ndio maana watu hawanunui magari na hapo wigo wa mapato unapungua kisa uzembe uzembe tu.
Vi-wonder si ndo hivyo,au ulitegemea kile cha "Nyumbu" na UFI pekee?Wakuu
Ukijaribu kuangalia kwa umakini mfumo wetu wa kodi ni wakijinga sana na hautotusogeza mbele.
Gari kwa Tanzania ni Anasa tena anasa kubwa sana.
Unanunua gari milioni tano eti uandae na kodi milioni tano nyingine.
Hii sio sawa na walioweka hiyo kanuni kwenye kikokotoo naona wao haliwagusi.
Watu wanaponunua magari kikubwa yawe yale yenye ubora tayari mzunguko wa mafuta utaongezeka na huko wewe kama serikali utakusanya kodi pia ya kutosha.
Kodi inapokua juu ndio maana watu hawanunui magari na hapo wigo wa mapato unapungua kisa uzembe uzembe tu.
Hoja dhaifu... Unaijua kodi ya anayenunua gari jipya???Wana discourage tusitununue screpa mkuu
Wakipunguza kodi barabarani itakuwa vituko
Japani kuna gari hadi ya dola 600
Watanzania tunsvyopenda cheap barabara zitajaa mikebe
Mimi napenda Waongeze kodi ya magari ili tuheshimiane
Hoja dhaifu... Unaijua kodi ya anayenunua gari jipya???
Maskini hawezi kuheshimiwa mpaka pale atakapogundua hakuna aliyezariwa na sutiSasa maskini mtaheshimiana nini mkuu?