Tanzania Nchi Ya Ajabu Ajabu Tu, Kodi Ya Gari Unalonunua Japan Au Kwingine Iko juu Kuliko Bei ya Gari Lenyewe.

Mm mwenyewe nlikuwa nashangaa, watu wanasema v8 zinauzwa mpaka milion 400 kumbe ukiangalia v8 mpya kutoka Japan ni kama dola elfu 80 tu lakini likija tz hizo nyingine ni kodi tupu mpka linafikia milion 400
 
Wakuu
Ukijaribu kuangalia kwa umakini mfumo wetu wa kodi ni wakijinga sana na hautotusogeza mbele.
Gari kwa Tanzania ni Anasa tena anasa kubwa sana.
Unanunua gari milioni tano eti uandae na kodi milioni tano nyingine.
Hii sio sawa na walioweka hiyo kanuni kwenye kikokotoo naona wao haliwagusi.
Watu wanaponunua magari kikubwa yawe yale yenye ubora tayari mzunguko wa mafuta utaongezeka na huko wewe kama serikali utakusanya kodi pia ya kutosha.
Kodi inapokua juu ndio maana watu hawanunui magari na hapo wigo wa mapato unapungua kisa uzembe uzembe tu.
Vi-wonder si ndo hivyo,au ulitegemea kile cha "Nyumbu" na UFI pekee?
 
Wakuu
Ukijaribu kuangalia kwa umakini mfumo wetu wa kodi ni wakijinga sana na hautotusogeza mbele.
Gari kwa Tanzania ni Anasa tena anasa kubwa sana.
Unanunua gari milioni tano eti uandae na kodi milioni tano nyingine.
Hii sio sawa na walioweka hiyo kanuni kwenye kikokotoo naona wao haliwagusi.
Watu wanaponunua magari kikubwa yawe yale yenye ubora tayari mzunguko wa mafuta utaongezeka na huko wewe kama serikali utakusanya kodi pia ya kutosha.
Kodi inapokua juu ndio maana watu hawanunui magari na hapo wigo wa mapato unapungua kisa uzembe uzembe tu.
Vi-wonder si ndo hivyo,au ulitegemea kile cha "Nyumbu" na UFI pekee?
 
HII NCHI YAANI WASOMI WALA HAWASUMBUKI KUWA WABUNIFU, HILI NALO MPKA RAIS AONGEE.
PUNGUZA KODI YA MAGARI NDANI YA MIAKA 7, WATU WAMILIKI MAGARI YA KISASA, WATALIPA USHURU WA MAFUTA NA VIPURI. AJALI ZITAPUNGUA, NCHI ITAKUWA SAFI NA SI DAMPO. TUTATUNZA MAZINGIRA, UNAZUIA RAMBO, UNAINGIZA MAGARI CHAKAVU.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom