Wakuu
Ukijaribu kuangalia kwa umakini mfumo wetu wa kodi ni wakijinga sana na hautotusogeza mbele.
Gari kwa Tanzania ni Anasa tena anasa kubwa sana.
Unanunua gari milioni tano eti uandae na kodi milioni tano nyingine.
Hii sio sawa na walioweka hiyo kanuni kwenye kikokotoo naona wao haliwagusi.
Watu wanaponunua magari kikubwa yawe yale yenye ubora tayari mzunguko wa mafuta utaongezeka na huko wewe kama serikali utakusanya kodi pia ya kutosha.
Kodi inapokua juu ndio maana watu hawanunui magari na hapo wigo wa mapato unapungua kisa uzembe uzembe tu.
Ukijaribu kuangalia kwa umakini mfumo wetu wa kodi ni wakijinga sana na hautotusogeza mbele.
Gari kwa Tanzania ni Anasa tena anasa kubwa sana.
Unanunua gari milioni tano eti uandae na kodi milioni tano nyingine.
Hii sio sawa na walioweka hiyo kanuni kwenye kikokotoo naona wao haliwagusi.
Watu wanaponunua magari kikubwa yawe yale yenye ubora tayari mzunguko wa mafuta utaongezeka na huko wewe kama serikali utakusanya kodi pia ya kutosha.
Kodi inapokua juu ndio maana watu hawanunui magari na hapo wigo wa mapato unapungua kisa uzembe uzembe tu.