engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana Jf Naomba niuluze swali
leo ktk BBC swahili tunaelezwa kuwa Tanzania ni nchi ya tatu Africa kuwa na madini mengi,lakini bado nchi zisizo na mali asili hiyo zinatuongoza ktk maswala ya uchumi.
tufanye nini ili madini haya yaweze kutufaidisha kama nchi za SA na Botswana?
je ni kweli madini yanaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha mahala nasi tukajivunia uwepo wa madini Tanzania?
leo ktk BBC swahili tunaelezwa kuwa Tanzania ni nchi ya tatu Africa kuwa na madini mengi,lakini bado nchi zisizo na mali asili hiyo zinatuongoza ktk maswala ya uchumi.
tufanye nini ili madini haya yaweze kutufaidisha kama nchi za SA na Botswana?
je ni kweli madini yanaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha mahala nasi tukajivunia uwepo wa madini Tanzania?