Acha uongo wewe!Acheni propaganda.. ivi mnajua tumeomba tena kwa kupeleka data hata ambazo hazipo?
Mkuu, mkopo huu unasubiliwa sema jamaa wanazingua..
Tungekuwa tumeomba Zitto si angeshasafiri kwenda kuwaona?
Acha uongo wewe!Acheni propaganda.. ivi mnajua tumeomba tena kwa kupeleka data hata ambazo hazipo?
Mkuu, mkopo huu unasubiliwa sema jamaa wanazingua..
Hapana kamanda. Tutazitumia kwenda kubeba mask China kama alivopendekeza Mwenyekiti.Tuchukue tu halafu tuagize A 380 mbili kwa mpigo ili ikifikia wakati wa kuwasomba wajumbe wa mkutano mkuu mpone hela kukodi fuso
Acha ujinga wewe utaitaje wenzio Nyang'au?Hatuitaji mkopo wa corona sisi.. Coz moja kati ya masharti yake ni kufanya lockdown za kishenzi na kufunga mipaka kama nyang'au wanavyofanya.
Tanzania Corona imeisha tunasubiri sherehe Jpili hela za nini?Na imani kabisa ipo siku Tanzania nayo itapata mpunga wake ili kupambana na covid 19
Kama kenya wamepata naamini Tanzania nayo itapata tena kwa sababu Tanzania ina population kubwa kuliko kenya basi inaweza pata hata mara mbili yake.
Lakini najiuliza kwanini hawataki kutoa haraka maana karibu africa mashariki yote imepata isipo kua Tanzania na sibling wake Burundi. Kulikoni?
Hiyo barua ya kuomba ipo wapi?Mkopo mmeomba tena mmeomba kwa data za kupika..
Deni la taifa limepaa😁😁
Sisi hatujaomba,tumeomba kusameheqa deni au kuahirisha marejeshoKama kenya wamepata naamini Tanzania nayo itapata tena kwa sababu Tanzania ina population kubwa kuliko kenya basi inaweza pata hata mara mbili yake.
Poa mzeeMkopo mmeomba tena mmeomba kwa data za kupika..
Hii inaitwa sizitaki mbichi hizi. Tuliomba tumenyimwa.Hatuitaji mkopo wa corona sisi.. Coz moja kati ya masharti yake ni kufanya lockdown za kishenzi na kufunga mipaka kama nyang'au wanavyofanya.
Wewe unajua population ya Tz na Kenya ??Na imani kabisa ipo siku Tanzania nayo itapata mpunga wake ili kupambana na covid 19
Kama kenya wamepata naamini Tanzania nayo itapata tena kwa sababu Tanzania ina population kubwa kuliko kenya basi inaweza pata hata mara mbili yake.
Lakini najiuliza kwanini hawataki kutoa haraka maana karibu africa mashariki yote imepata isipo kua Tanzania na sibling wake Burundi. Kulikoni?
Tena pesa hiyo ni tamu kweli.Na imani kabisa ipo siku Tanzania nayo itapata mpunga wake ili kupambana na covid 19
Kama kenya wamepata naamini Tanzania nayo itapata tena kwa sababu Tanzania ina population kubwa kuliko kenya basi inaweza pata hata mara mbili yake.
Lakini najiuliza kwanini hawataki kutoa haraka maana karibu africa mashariki yote imepata isipo kua Tanzania na sibling wake Burundi. Kulikoni?
Wewe unayejua zikoje hizo 'population'?
Hatuhitaji please tuna dawa zetu za kienyeji .Wewe Ni doctor au nesi unataka ule miposho? Barakoa Mitaani zinauzwa Hadi Mia tano dawa za kujifukiza bure hatutaki hiyo pesaNa imani kabisa ipo siku Tanzania nayo itapata mpunga wake ili kupambana na covid 19
Kama kenya wamepata naamini Tanzania nayo itapata tena kwa sababu Tanzania ina population kubwa kuliko kenya basi inaweza pata hata mara mbili yake.
Lakini najiuliza kwanini hawataki kutoa haraka maana karibu africa mashariki yote imepata isipo kua Tanzania na sibling wake Burundi. Kulikoni?
Unajua maana ya swali? ? Kama hujui sema sijui nimeshindwa kujibu swali lako hayo ndo mazungumzo Bora.Wewe unayejua zikoje hizo 'population'?
Juzi tu JPM ameshalipa Bil 19 kama fidia ya watu kupisha ujenzi wa reli. Dom to Tabora, bado mnataka tukopeshwe. Ili iweje? Watulazimishe Lockdown? Hamjui kuwa kuna mzigo umejaa kwenye Consolidated fund.Na imani kabisa ipo siku Tanzania nayo itapata mpunga wake ili kupambana na covid 19
Kama kenya wamepata naamini Tanzania nayo itapata tena kwa sababu Tanzania ina population kubwa kuliko Kenya basi inaweza pata hata mara mbili yake.
Lakini najiuliza kwanini hawataki kutoa haraka maana karibu africa mashariki yote imepata isipo kua Tanzania na sibling wake Burundi. Kulikoni?