Tanzania National Football Team (Taifa Stars) | Special Thread

Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Alfred Lucas amezungumzia juu ya maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Lesotho utakaochezwa Jumamosi hii. Lucas amefafanua kuhusu kuwasili kwa wachezaji wa Lesotho wanaoingia jioni ya leo Alhamisi, pamoja na wachezaji wa Stars ambao watacheza mchezo huo kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2019) zitakazofanyika nchini Cameroon,BONYEZA LINK KUANGALIA VIDEO YOTE
VIDEO: TFF WAZUNGUMZIA MAANDALIZI YA MCHEZO WA TAIFA STARS Vs LESOTHO, JONAS MKUDE AREJESHWA KIKOSINI
 
FWATILIA DONDOO ZA UBASHIRI KWA MICHEZO YA NYUMBANI YANI LIGI KUU TANZANIA BARA, KENYA, UGANDA, RWANDA, BURUNDI , TUNISIA, MISRI, CAMEROON, IVORY COAST, MOROCCO, NA NYINGINE NYINGI ZA AFRIKA KUPITIA WWW.BONGOTIPS.COM KILA SIKU
 
FWATILIA DONDOO ZA UBASHIRI KWA MICHEZO YA NYUMBANI YANI LIGI KUU TANZANIA BARA, KENYA, UGANDA, RWANDA, BURUNDI , TUNISIA, MISRI, CAMEROON, IVORY COAST, MOROCCO, NA NYINGINE NYINGI ZA AFRIKA KUPITIA WWW.BONGOTIPS.COM KILA SIKU
 
FWATILIA DONDOO ZA UBASHIRI KWA MICHEZO YA NYUMBANI YANI LIGI KUU TANZANIA BARA, KENYA, UGANDA, RWANDA, BURUNDI , TUNISIA, MISRI, CAMEROON, IVORY COAST, MOROCCO, NA NYINGINE NYINGI ZA AFRIKA KUPITIA WWW.BONGOTIPS.COM KILA SIKU
 
Kikosi cha Taifa Stars kitakachoanza dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo leo jumanne tarehe 27 March 2018.Mechi ya kalenda ya Fifa ya kirafiki.

1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Gadiel Michael
4. Abdi Banda
5. Kelvin Yondan
6. Himid Mao
7. Mohammed Issa
8. Erasto Nyoni
9. Mbwana Samatta
10. Simon Msuva
11. Shiza Kichuya

Kikosi cha akiba

12. Abdulrahman Mohammed
13. Ramadhan Kabwili
14. Hassan Kessy
15. Shaabn Chilunda
16. Faisal Salum
17. Yahaya Zayd
18. Rasgid Mandawa
19. Said Ndemla.
 
Back
Top Bottom