Tanzania National Football Team (Taifa Stars) | Special Thread

ImageUploadedByJamiiForums1401631351.782476.jpg


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Wazimbabwe wameanza kulalamika kwenye social media zao.Kumbe hawa wachezaji wao hawajalipwa posho zao.Wameshakata tamaa,wanashangaa kama hii Tanzania ndo walifungwa 3-0 na Burundi.Wanatakiwa watufunge 2 mengine ili wapite.
 
Wazimbabwe wameanza kulalamika kwenye social media zao.Kumbe hawa wachezaji wao hawajalipwa posho zao.Wameshakata tamaa,wanashangaa kama hii Tanzania ndo walifungwa 3-0 na Burundi.Wanatakiwa watufunge 2 mengine ili wapite.

Sasa hivi wanatakiwa watufunge tatu maana sasa hivi ni Taifa 2 na wao 1 ukijumlisha na la hapa tuko mbele kwa 3 - 1
 
The Tanzania national football team represents Tanzania in association football and is controlled by the Tanzania Football Federation, the governing body for football in Tanzania. Tanzania's home ground is The National Stadium in Dar-es-Salaam .

Tanzania has never qualified for the World Cup finals. Before uniting with Zanzibar, the team played as the Tanganyika national football team.

The island of Zanzibar, part of Tanzania (and once an independent nation), is also an associate member of CAF and has played matches with other nations, but is not eligible to enter the World Cup or Africa Cup of Nations.

attachment.php

Kikosi cha timu ya Taifa Tanzania


Uwanja wa mpira wa Taifa.


Jamal Malinzi: Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF)

Punguza picha hii moja tu ingetosha, mitandao yenyewe ya bongo iko slow sana ukiongeza picha nyingi haina faida wala maana. Ushauri tu.
 
Hata kama ni hivyo ndugu tunatia aibu sana, mbona nchi nyingine timu za mataifa yao tv za taifa zinaonesha? Sisi tunashindwa nini kwa mechi kubwa kama hii?

Mkuu kwa Africa hiyo kitu ni ngumu sana..mwaka 2012 washabiki wa timu ya taifa ya south waliandamana juu ya ishu kama hiyo.

Inabidi yawepo makubaliano ya pande zote mbili, na sio uamuzi wa nchi moja.
 
Safi sana.Wasikie Wazimbabwe: It's over now. We need 4 goals. No concentration and application'. Haaa!teh teh wamekata tamaaa.
 
Mkuu kwa Africa hiyo kitu ni ngumu sana..mwaka 2012 washabiki wa timu ya taifa ya south waliandamana juu ya ishu kama hiyo.

Inabidi yawepo makubaliano ya pande zote mbili, na sio uamuzi wa nchi moja.
mbona Azam wameweza?
 
Zimbabwe wanacheza mpira mzuri na wanaonana tofauti na Taifa Stars.
 
Hadi dakika hii ya 61,mabao ni 2-2.Mabao ya Stars yamefungwa na Cannavaro na Ulimwengu. Mpambano ni mkali sana.Go Stars.................goooooooooooooooo our National Team. I am proud of you guys!
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom