tshabalala_the_greto
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 452
- 227
Ni dakika ya 13 goli limeingia na siyo dakika ya 3,hawa tbc kwanini hawaonyeshi huu mpira?
Nadir goooo 1-1
Nadir goooo 1-1
Hapana mzalendo,tumesawazisha kwa goli la ugenini.Ndg yetu upo usingizini au?mbona matokeo bado ni 1-0
Ndg yetu upo usingizini au?mbona matokeo bado ni 1-0
Nadir goooo 1-1
Mtuhabarishe wandugu wengine tuko huku Samunge hata hiyo azam hatuipati. hii timu ya taifa naipenda sana mungu uwe pamoja nasi
'We'll cross the bridge when we get to it.' Tushinde leo,mengine baadaye.Mshindi wa mechi ya leo atacheza na Msumbiji....Nadhani mnaijua vyema.