Kuweni na subira tutafungwa tu jamanNigeria wanakosa bao la wazi, wakati samatta yuko chini.
kweli lakini tunakomaa hivyohvyoIngia www.Firstrowsports.me afu tafuta mechi. Natumia hii link kuangalia mechi nyingi live. Hata Boxing, WWE unaweza kutumia hii iwe PPV or not vyote free.
Note: Kama upo home Bongo sijui inakuwaje, maana internet kwetu ni expensive kuliko nje.
Safi sana!Naona anatangaza kupitia Beinsports sijui ni channel gani. Naangalizia online jamaa ana accent ya kibritish. Namsifu kwa kuyatamka majina yetu yanayoanza na "M" vyema eg "Msuva" maana huwa inakuwa vigumu hasa kwa mtu asiye mwafrika kumfundisha jinsi ya kuyatamka bila kuvunja mfupa wa ulimi.
mhTumekufa kiume...