Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,510
- 23,722
sasa hapa we unaona kuna swali la maana la kukwepa? Kirefu cha TNBC ni nini?Kwenye "TNBC" tayari kulikuwa na neno Tanzania. Sasa hiyo "N" ya nini?
sasa hapa we unaona kuna swali la maana la kukwepa? Kirefu cha TNBC ni nini?Kwenye "TNBC" tayari kulikuwa na neno Tanzania. Sasa hiyo "N" ya nini?
sasa hapa we unaona kuna swali la maana la kukwepa? Kirefu cha TNBC ni nini? Maswali mengine yanajijibu tu yenyewe hayahitaji hata kuuliza.Mkuu, nimekuuliza swali comment yangu #8 ila umelikwepa mzee baba.
mhhhsasa hapa we unaona kuna swali la maana la kukwepa? Kirefu cha TNBC ni nini? Maswali mengine yanajijibu tu yenyewe hayahitaji hata kuuliza.
Kivipi mkuu? Ninaomba ufafanuzi kidogo kwenye hili.Hi ni kwa ajiri ya kuweka umahususi(specification)
Shirika la taifa la bima linaitwa National Insurance Corporation. Una lipi la kusema juu ya hili mkuu?Nadhani walichohitaji ni kuondoa mkanganyiko. Ukisema National Business Council, watu tutauliza Baraza la Biashara la Taifa gani?.
Yumkini kunayo mabaraza ya biashara katika mataifa mbalimbali.
Ndo maana wakaweka umahususi kuwa baraza linaloongelewa ni la Tanzania na sio vinginevyo.
Basi ngoja waje wengine watanisaidia katika kujibu. Thanks bro.sasa hapa we unaona kuna swali la maana la kukwepa? Kirefu cha TNBC ni nini?
Kivipi mkuu? Ninaomba ufafanuzi kidogo kwenye hili.
Mkuu hapo nilichosema mimi kuwa huenda wamehitaji kuondoa mkanganyiko kwa kuweka umahususi.Shirika la taifa la bima linaitwa National Insurance Corporation. Una lipi la kusema juu ya hili mkuu?
Sawa mkuu inawezekana kuwa watu wamekubaliana waite hivyo. Sasa vp kuhusu usahihi wa kisarufi hapo kwenye TNBC?sauti za nasibu zilizokubali na watu. Kwa maana kwamba ni makubaliano tu yamefanyika kuwa tuite hivi na kinyume chake.
Kisarufi haijakaa sahihi, ingeitwa National Business Council of Tanzania ingekuwa vizuri kama hilo neno Tanzania wanataka liwepo.Sawa mkuu inawezekana kuwa watu wamekubaliana waite hivyo. Sasa vp kuhusu usahihi wa kisarufi hapo kwenye TNBC?
kuna vyombo vya kimataifa na kitaifa, vyombo vya kimataifa ni lazima uoneshe la taifa gani na lipo wapi..Vp kuhusu TBC? Haikustahili kuwa shirika la utangazaji la taifa la Tanzania (TNBC)?
Sawa mkuuKisarufi haijakaa sahihi, ingeitwa National Business Council of Tanzania ingekuwa vizuri kama hilo neno Tanzania wanataka liwepo.
TBS ni cha kitaifa ama kimataifa?kuna vyombo vya kimataifa na kitaifa, vyombo vya kimataifa ni lazima uoneshe la taifa gani na lipo wapi..
Vp kuhusu NMB?kuna vyombo vya kimataifa na kitaifa, vyombo vya kimataifa ni lazima uoneshe la taifa gani na lipo wapi..