Nadhani huu wimbo ni dua, ni kitu kinachojenga hamasa na funzo la uzalendo!
Katika hii awamu ya 5 watu wanapaswa kurejea hizi nyimbo za kizalendo na kujenga hamasa!
Tanzania Tanzania .... nakupenda kwa moyo wote!!
......Tanzania....Mola awe nawe Daima!
Katika hii awamu ya 5 watu wanapaswa kurejea hizi nyimbo za kizalendo na kujenga hamasa!
Tanzania Tanzania .... nakupenda kwa moyo wote!!
......Tanzania....Mola awe nawe Daima!