Tanzania na Watanzania tunahitaji Uhuru, Ukombozi au Mapinduzi?

[/B]
unaona sasa mkuu zakumi, chuo hicho kilitoa ukombozi wa kifikra au kiliwajenga watu kuwa na mtazamo fulani?
sijui unapata ninachokusudia kusema. kwa hiyo watu wale waliohudhuria chuo hicho ndio wamekomboka kifikra?
labda tujiulize fikra zipi tunazozizungumzia hapa?
wale walilelewa kuheshimu tabaka la wakati huo tawala. walifungwa kwa namna nyingine hamna tofauti sana na hadithi ya kivuli kinaishi ya bi kilembwe

There you go. Na wewe ukifungua shule zako za kuwakomboa watanzania, je una uhakika wa kutofanya ya kivukoni college? :becky: :becky::becky: :becky:
 
There you go. Na wewe ukifungua shule zako za kuwakomboa watanzania, je una uhakika wa kutofanya ya kivukoni college? :becky: :becky::becky: :becky:

yani hao watu watakaohitimu watakuwa hatari sana. watakuwa wameiona kweli halisi kiasi kwamba hata mimi mwenyewe nitawaogopa what they will be capable of.
 
Uhuru upi? Uhuru unatafsiri nyingi hasa unaposimama ktk tuko husika!

China ni nchi huru na watu wake wapo huru,

Lakini china ilaumiwa na jumuiya za kimaghari kwa usimamiaji wa katiba na sheria za nchi hiyo yenye wakwasi wengi

Mkuu unazungumzia Uhuru wa Taifa au Uhuru wa mtu mmoja mmoja? Hata kama watanzania wengine hawataki mimi nataka uhuru wangu, nataka uhuru wa kufanya mambo yangu mwenye na kuiendesha familia yangu namna nnavyotaka mimi bila kuingiliwa na mutu au taasisi yoyote ile.

Hata ushiriki wangu kwenye mambo ya kisiasa nataka uwe huru, ndio maana mimi si mwanachama wa chama chochote kile sababu najua uhuru wangu utaingiliwa na katiba na miongozo ya vyama.

Nataka kufanya kazi nnayoitaka mimi, nataka kufurahia kazi yangu, na katika hili ninataka uwanda mpana wa kusimamia,kuboresha na kuendeleza kazi yangu bila kuingiliwa na mwajiri wangu, vyama vya wafanyakazi,sheria wala miongozo ya namna yoyote ile.

Lakini, ninatambua uwepo wa watu, taasisi na hata serikali na niko tayari kuishi miongoni mwa vyote hivyo, niko tayari kuvisaidia si tu kufikia malengo yao bali kuviendeleza na kuviwezesha kufikia maendeleo makubwa zaidi ya yale upeo wao wa sasa ulipoishia, natambua kwamba na vyenyewe vinahitaji uhuru kama ninaohitaji mimi, nami niko radhi viwe huru ila kila mmoja atimize wajibu wake katika kuifanya jamii yetu kuwa na furaha zaidi.
 
Tanzania ya leo, si sawa na Tanzania ya miaka 10 iliyopita, sasa ivi naona watanzania tunaanza kuamka na hii ni ishara njema kwa taifa letu pendwa. Tanzazania ya leo kuna vitu vinavyo ukandamiza Uhuru kama vyombo vya dora ambavyo kutokana na mfumo mmbovu wa utawala unasababisha hayo yote, katika harakati za ukombozi ambayo itafanya nchi kua huru ni za msingi zaidi, na hapa nafikiri tujumuishe Ukombozi na Mapinduzi ili tuweze kua huru kwa manufaa yetu na kizazi kijacho
 
yani hao watu watakaohitimu watakuwa hatari sana. watakuwa wameiona kweli halisi kiasi kwamba hata mimi mwenyewe nitawaogopa what they will be capable of.

Hivi mwanafunzi wa hiyo shule ya kufikirika akikuomba unyumba utamwacha aendelee kusoma? :becky::becky::becky::becky::becky::becky:
 
Tanzania ya leo, si sawa na Tanzania ya miaka 10 iliyopita, sasa ivi naona watanzania tunaanza kuamka na hii ni ishara njema kwa taifa letu pendwa. Tanzazania ya leo kuna vitu vinavyo ukandamiza Uhuru kama vyombo vya dora ambavyo kutokana na mfumo mmbovu wa utawala unasababisha hayo yote, katika harakati za ukombozi ambayo itafanya nchi kua huru ni za msingi zaidi, na hapa nafikiri tujumuishe Ukombozi na Mapinduzi ili tuweze kua huru kwa manufaa yetu na kizazi kijacho

Ni kweli umenena vema, lakini bado hoja yamsingi hapo hujaijibu mkuu!
 
Ni kweli umenena vema, lakini bado hoja yamsingi hapo hujaijibu mkuu!

Wa Tanzania wengi wanajua wanacho kihitaji na hata wanapo elekea, tatizo tunakosa kutambua tu nini tunakiwa tuwe nacho ili tuweze kukamilisha yale tunayo yahitaji. Mfano, kuna sehemu kuna tatizo la Rushwa na watu wanatambua hilo ila ni namna gani wata ondo ile rushwa pale huku kuna mikono mizito ambayo kwa mwananchi mmoja mmoja hawezi, tuna kuta wengi wetu hatuna umoja, na panapo kosekana umoja nadhani mkuu unaelewa kinachotokea, ila sson nafikiri mambo yatabadilika maana maeneo mengi watu wameeanza kua na umoja.
 
weweweeeee mkuu unanichokoza sasa?

Nilikwenda kwenye extremy. :becky: :becky: :becky: . Lakini unapohamua kuanzisha vitu kama ulivyosema ni lazima ukubali kuwa kuna watu watavuka mistari. Je huko tayari au utang'ang'ania kivuli cha mila na dini zetu?

Maana mapinduzi ya kifikra anayotaka Yericko ni ya kuona watu wanachagua watu wenye uchungu na nchi. Lakini mapinduzi hayohayo yanamfanya hata mtoto mdogo awe anajua kuwa hamu ya kufanya mapenzi sio utovu wa nidhamu bali ni sehemu yake ya kibaiolojia na kisaikolojia kama binadamu. Je huko tayari kukubali?
 
Nilikwenda kwenye extremy. :becky: :becky: :becky: . Lakini unapohamua kuanzisha vitu kama ulivyosema ni lazima ukubali kuwa kuna watu watavuka mistari. Je huko tayari au utang'ang'ania kivuli cha mila na dini zetu?

Maana mapinduzi ya kifikra anayotaka Yericko ni ya kuona watu wanachagua watu wenye uchungu na nchi. Lakini mapinduzi hayohayo yanamfanya hata mtoto mdogo awe anajua kuwa hamu ya kufanya mapenzi sio utovu wa nidhamu bali ni sehemu yake ya kibaiolojia na kisaikolojia kama binadamu. Je huko tayari kukubali?

mkuu za zakumi huko unakoenda mbali sasa.
mtoto huyo ataelimishwa accordingly basing on ethics. hata hivyo mtoto mdogo hafanyi mapenzi hadi akapata hamu ya kufanya mapenzi huyo si mtoto tena huyo atakuwa mkubwa.
 
mkuu za zakumi huko unakoenda mbali sasa.
mtoto huyo ataelimishwa accordingly basing on ethics. hata hivyo mtoto mdogo hafanyi mapenzi hadi akapata hamu ya kufanya mapenzi huyo si mtoto tena huyo atakuwa mkubwa.

Unaona sasa huna guts za kufanya mapinduzi ya kifikra kwa sababu umeanza kusuasua. Waliotuletea ujamaa walituletea ethics zenye mtazamo wao.

Hizo ethics unazotaja utazitoa wapi? Au unafikiri kuwa ethics ni universal term?
 
Unaona sasa huna guts za kufanya mapinduzi ya kifikra kwa sababu umeanza kusuasua. Waliotuletea ujamaa walituletea ethics zenye mtazamo wao.

Hizo ethics unazotaja utazitoa wapi? Au unafikiri kuwa ethics ni universal term?

nimesuasua wapi? kwenye nini? na namna gani? kiongozi
zipo universal ethics na ethics can also be relative.

mfano killing is universaly unethical, but abortion can be ethical (in medical field) or unethical kwa society fulani.

sijui wewe ulitaka nini, kwa mimi kusema nitatumia ethics kumfundisha huyo unayemuita mtoto kutaka kufanya mapenzi eti kisa kafunguka kifikra.

guts za kufanya mapinduzi ninazo nikipata fursa hiyo nitawafunza watu ukweli halisi na kweli hiyo itawaweka huru na kufanya mambo yanayotakiwa kufanyika. mimi ninachokataa ni kuwa mtu anaweza akawa na phd ya engineering lakini hajui kudai haki zake huyu hajakomboka kifikra ila atakuwa tu ana taaluma ya kuwa mhandisi.

kuna namna ya kumfungua mtu kifikra kumuonesha mambo yatakayomuwezesha kuhoji na kutafakari kwa kina. kuona nyeupe tu. haya ndio mapuinduzi tunayoyataka.
 
na ninafurahi sana kwa vile hata mimi nimesoma falsafa hivyo naelewa fika kuhusu ethics from its theories to its practical applicability
 
nimesuasua wapi? kwenye nini? na namna gani? kiongozi
zipo universal ethics na ethics can also be relative.

mfano killing is universaly unethical, but abortion can be ethical (in medical field) or unethical kwa society fulani.

sijui wewe ulitaka nini, kwa mimi kusema nitatumia ethics kumfundisha huyo unayemuita mtoto kutaka kufanya mapenzi eti kisa kafunguka kifikra.

guts za kufanya mapinduzi ninazo nikipata fursa hiyo nitawafunza watu ukweli halisi na kweli hiyo itawaweka huru na kufanya mambo yanayotakiwa kufanyika. mimi ninachokataa ni kuwa mtu anaweza akawa na phd ya engineering lakini hajui kudai haki zake huyu hajakomboka kifikra ila atakuwa tu ana taaluma ya kuwa mhandisi.

kuna namna ya kumfungua mtu kifikra kumuonesha mambo yatakayomuwezesha kuhoji na kutafakari kwa kina. kuona nyeupe tu. haya ndio mapuinduzi tunayoyataka.


Duh naona umefunguka. Lakini nasema huna guts kwa sababu unasubiri mpaka upate fursa. Ukweli wa mambo fursa haindoki kutoka mbinguni kama manna.

Kama kweli wewe ni mwana mapinduzi, anza kufanya vitu vyako na wafuasi wakina Yericko wapo.
 
Duh naona umefunguka. Lakini nasema huna guts kwa sababu unasubiri mpaka upate fursa. Ukweli wa mambo fursa haindoki kutoka mbinguni kama manna.

Kama kweli wewe ni mwana mapinduzi, anza kufanya vitu vyako na wafuasi wakina Yericko wapo.

kiongozi mimi ni mwanamapinduzi mzuri sana waliopita katika line yangu wananifahamu vizuri. na ninaposema nikipata fursa nina maana kila nikipata fursa hiyo huitumia vilivyo. kwa sababu kufanya haya mambo si kwamba unaanza from no where. lazima uwe na watu wa kuwapa hayo. sikuwa na maana ya kupata fursa ya pesa au kuwezeshwa no no no. mapinduzi hayahitaji hayo.
hata humu ndani ninafanya mapinduzi kwa namna moja au nyingine. kuna wanaosoma post zangu na kuzielewa na kuzifanyia kazi. haya nayo nayafanya.
 
Duh naona umefunguka. Lakini nasema huna guts kwa sababu unasubiri mpaka upate fursa. Ukweli wa mambo fursa haindoki kutoka mbinguni kama manna.

Kama kweli wewe ni mwana mapinduzi, anza kufanya vitu vyako na wafuasi wakina Yericko wapo.

huwa nafurahi sana kujadili mambo na wewe maana huwa unasababisha mjadala kuwa mzito na kuhitaji umakini wa hali ya juu. nakumbuka vizuri sana tukiwa tunajadiliana juu ya azimio la arusha. tulibishana sana kwa hoja. na hii haswa ndio maana ya kuwa great thinkers. hoja kwa hoja fikra kwa fikra sio mipasho na matusi.
napenda kukuhakikishia kuwa mimi ni mwanamapinduzi mzuri sana. ni vile tu sijatumia ID yangu hapa ungeona wanaonifahamu ambavyo wangekubali na mamneno yangu.
 
kiongozi mimi ni mwanamapinduzi mzuri sana waliopita katika line yangu wananifahamu vizuri. na ninaposema nikipata fursa nina maana kila nikipata fursa hiyo huitumia vilivyo. kwa sababu kufanya haya mambo si kwamba unaanza from no where. lazima uwe na watu wa kuwapa hayo. sikuwa na maana ya kupata fursa ya pesa au kuwezeshwa no no no. mapinduzi hayahitaji hayo.
hata humu ndani ninafanya mapinduzi kwa namna moja au nyingine. kuna wanaosoma post zangu na kuzielewa na kuzifanyia kazi. haya nayo nayafanya.

huwa nafurahi sana kujadili mambo na wewe maana huwa unasababisha mjadala kuwa mzito na kuhitaji umakini wa hali ya juu. nakumbuka vizuri sana tukiwa tunajadiliana juu ya azimio la arusha. tulibishana sana kwa hoja. na hii haswa ndio maana ya kuwa great thinkers. hoja kwa hoja fikra kwa fikra sio mipasho na matusi.
napenda kukuhakikishia kuwa mimi ni mwanamapinduzi mzuri sana. ni vile tu sijatumia ID yangu hapa ungeona wanaonifahamu ambavyo wangekubali na mamneno yangu.


So after all I am talking to an old foe. Ngoja nifunguke :becky: :becky:

Kwanza Tanzania sio nchi ya kufanya mapinduzi. It's a country where we need to do things right. Kwa miaka 50 tunapoteza muda kwa haya mambo ya ideologies za mumbo jumbo, ujamaa, azimio la arusha, etc etc wakati tungetoa elimu kamili toka 1961, nchi ingekuwa imebadilika.

By the way, your avatar looks good in that star spangled banner costum. long live capitalism.
 
So after all I am talking to an old foe. Ngoja nifunguke :becky: :becky:

Kwanza Tanzania sio nchi ya kufanya mapinduzi. It's a country where we need to do things right. Kwa miaka 50 tunapoteza muda kwa haya mambo ya ideologies za mumbo jumbo, ujamaa, azimio la arusha, etc etc wakati tungetoa elimu kamili toka 1961, nchi ingekuwa imebadilika.

By the way, your avatar looks good in that star spangled banner costum. long live capitalism.

mapinduzi gani unayoyaongelea?
mimi nasema tanzania ni nchi ya kufanya mapinduzi ya kifikra. tena tuyafanye haraka pasipo kupoteza muda.
 
Back
Top Bottom