dexterous
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,038
- 3,124
Una akili fupi sanaA
Acha munyooshwe muache kuandika mambo ya kijinga jinga.
Hata hivyo mlikuea mnapata shushu saana kwenye hivyo vifurushi kama 3000vunapata gb1.2,
Hap mimi sijaona mabadiliko yoyote kwa sababu toza mwaka jana wote natumia kifurushi cha wiki 3000 kwa gb 1tu na 5000 gb 2 tu na bafo nakiona kupo vilevile.
Muda wa maongezi ni uleule haujabadilika kwa hiyo kumbe tuliumia kubishana na watu waliokuwa wanapata unafuu kwenye bando.