Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,601
- 217,993
Hakuna namna atupisheDuh,kweli hii ni hatari sana
Hakuna namna atupisheDuh,kweli hii ni hatari sana
Mbona halotel gb 1 na mb 500 ni sh. 1500 tu?Maisha magumu gb moja elfu tatu si Bora nile nyama, kwa mtindo huu serikali itazidi ku loose Kodi na makapuni ya simu, Mimi mwenyewe nitaacha kutumia mitandao ibaki jf
Unayo hoja kubwa sanaTakukuru wamchunguze
Vimepandaa vyote dah hapo ndo siwezi kufatilia tutorials mbalimbali YouTube aisee imekula kwangu, acha niwe mtumiaji wa jf tu.Mbona halotel gb 1 na mb 500 ni sh. 1500 tu?
Read between lines.Mkuu mbona umerudia tabia ambayo hao uliowazungumzia hapo wanafanya.
Badala ya kuungana na kufanya maamuzi na wewe ni yale yale kushangilia kilichofanyika.
Halotel laini ya chuoVimepandaa vyote dah hapo ndo siwezi kufatilia tutorials mbalimbali YouTube aisee imekula kwangu, acha niwe mtumiaji wa jf tu.
Mimi hufatilia masomo na kujifunza huko YouTube Sasa kuongeza gharama Mara dufu ni zaidi ya ychawi, mama Samia aangalie hii Hali, Kama ile ya kwenye makodi Hadi watu wakafunga biashara ndio wakaja kugutuka.Hawajui data ndio sehemu pekee mnyonge anapojipatia faraja. Ulevi wa bia tumehamishia katika Data na Internet na wengine ndio tunapata taarifa na michongo mbali mbali humu
Natumia Tigo naona Pich na Video kasoro ku-upload picha tu ndio siwezi.Unaitumia katika mtandao upi? Maana nachojua ipo Tigo na Voda ambako huoni picha hata moja ila Voda wamelimit kuwa hutumii zaidi ya 50MB per day😁
Elfu 10 3GB , siku 30 , hivi hizo GB za masaa mawili ndio zitoshe mwezi !@ndungulile out!!!!!
Sidhani kama Ndugulile ana kosa, yeye ni mtekelezaji tu kama wengine muhimu tupambane mitandao ya simu ipunguziwe kodi vifurushi vitashuka automatically. Mitandao ya simu inatozwa kodi kubwa sana ambayo inasababisha gharama kupanda na kuumiza watumiaji wake. Ndugu yangu unafikiri 2T aliyoitamka jana Dr Mpango itapatikana kwa miujiza, matunda ya hiyo 2T ndiyo haya...Naanzisha rasmi kampeni ya kuhakikisha tunapata Waziri mpya wa Teknolojia baada ya huyu aliyepo kushindwa kwa makusudi kudhibiti bei ya vifurushi mitandaoni .
View attachment 1741015
Ewe mwananchi ni jukumu lako tena la haki kuhakikisha viongozi wabovu wanang'oka kwa namna yoyote ile ili nchi yetu isonge mbele , Madaraka ni kama mbio za kupokezana vijiti , Ndugulile ameshindwa kuwasaidia wananchi hivyo ni vema akang'oka ama akang'olewa .
Mungu ibariki Tanzania .