Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tuzidi kufanya maombi ili naye asivimbishe kichwaSina mengi ya kuongea ila kupitia vifurushi vya mitandao vya kila mtumiaji simu hapa nchini, ipo sababu ya kumuwajibisha kwa kile kinachoonekana dhahiri kuwa ni maumivu tuliosababishiwa kwa makusudi. Dhamira ya mtu kupewa dhamana sio kuumiza watu bali ni kuhakikisha usimamizi mzuri wa maslahi ya raia kwa ujumla. Naamini raisi wangu u msikivu na utalifanyia kazi hili.