🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ubaya ubayaMimi ni msukuma, mwaka 2003 kuna mshenzi mmoja wa kizigua aliniambiaga "we ms*nge hadi umri huo bado uko kwenu, wiki ijayo naleta mahari kwa baba yako nikuoe" ule utani uliniuma sana maana aliongea mbele za watu na wakashangilia sana, nikasema sawa huyu mjinga mi sintomtania......... Wiki mbili baadae nikamtafuna mke wake
Noma sana mkuu. Ila mzee baba hili cheko kama lote vile maaana sio kwa emoji hizo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ubaya ubaya
Mkuu kaniacha hoi aisee yeye kataniwa afu yeye kamega mke wake ani naweza sema vita ya bunduki yeye katumia kifaru kweli mbwai mbwai tu🤣🤣🤣🤣Noma sana mkuu. Ila mzee baba hili cheko kama lote vile maaana sio kwa emoji hizo
Daaah hatari sana mkuuMkuu kaniacha hoi aisee yeye kataniwa afu yeye kamega mke wake ani naweza sema vita ya bunduki yeye katumia kifaru kweli mbwai mbwai tu🤣🤣🤣🤣