Tanzania na unafki wa upendo

mkawaida

Senior Member
May 4, 2013
100
11
Ndugu wanajamvi kwanza ni wape pole kwa yote yanayotokea na najua mengi tutazidi kuyasikia lakini kitu kinachonishangaza Tanzania ni nchi inayosemekana ni yenye Amani na UPENDO UPENDO wa watanzania ni UNAFKI mtupu matukio mengi yametokea Ndio yanadhihilisha UNAFKI yani watu wanauwawa lakini kuna watu humu wenye akili timamu wanafurahia na kushabikia na kuwatetea wauaji tena kwa nguvu na maneno ya kuumiza wafiwa hivi Faida gani unapata ukiona mwenzio anakufa je uko wapi UPENDO mtu unaweka siasa mbele hujali kuwa watu waliokufa walikua Kama wewe yani sifichi simpendi huyu anaejiita hammy d yani ananiuzi vibaya mno coz yeye hata sehem ambayo wenzake wana msiba anaanza kuleta siasa na utani na kuwatetea sana wauaji yani Sijui anamoyo gani huyu mtu ni wengi tu ila huyu Ndio kiongozi Tanzania hakuna Amani wala UPENDO ni UNAFKI mtupu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom