The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Habari zenu wadau wa Michezo..
Inaelezwa kwamba Tanzania na Uganda wanatarajia kushirikiana kuomba kuandaa Mashindano ya AFCON mwaka 2027..
Haijaelezwa nani katoa hilo wazo ila ikumbukwe kwamba Rais Samia aliwahi kugusia kwamba Tanzania inakusudia kuomba kuandaa Mashindano hayo Kwa mwaka 2027.
Rais wa CAF Mutsepe anaonekana kuunga mkono wazo la kuandaa Mashindano hayo Kwa pamoja Kati ya Tanzania na Uganda jambo ambalo linatoa uhakika zaidi dhidi ya Washindani wengine wakiwemo Namibia na Botswana ambao nao wanataka kuomba Kwa kushirikiana..
Binafsi naona sio mbaya japo nilitamani tuandae peke yetu bila kushirikiana na Nchi yeyote.
Nahisi kutokana na mambo ya muda kuwa mfupi na gharama kubwa za miundombinu huenda Serikali imeona itakuwa vigumu kufanikisha kwa mda wa kiaka 5 iliyobaki kujenga viwanja vya kutosha na miundombinu mingine..
Wadau wa soka mnasemaje? 👇
Inaelezwa kwamba Tanzania na Uganda wanatarajia kushirikiana kuomba kuandaa Mashindano ya AFCON mwaka 2027..
Haijaelezwa nani katoa hilo wazo ila ikumbukwe kwamba Rais Samia aliwahi kugusia kwamba Tanzania inakusudia kuomba kuandaa Mashindano hayo Kwa mwaka 2027.
Rais wa CAF Mutsepe anaonekana kuunga mkono wazo la kuandaa Mashindano hayo Kwa pamoja Kati ya Tanzania na Uganda jambo ambalo linatoa uhakika zaidi dhidi ya Washindani wengine wakiwemo Namibia na Botswana ambao nao wanataka kuomba Kwa kushirikiana..
Binafsi naona sio mbaya japo nilitamani tuandae peke yetu bila kushirikiana na Nchi yeyote.
Wadau wa soka mnasemaje? 👇