Mimi ni mTanzania naipenda Tanzania Ila umefika mahali sina furaha Kwa haya yanayo endelea kiukweli fuwatilieni Uzi nilisema kama Sera ya awamu ya tano haitobadilika term hii hali itakuwa mbaya zaidi.Kuna email inasambaa mtandaoni ya kuogopesha. Tunavuliwa nguo uchi.
Hebu soma huu waraka. Wawekezaji wanavyotuchukulia. Kwa mtindo huu, Tanzania inazama