Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 729
- 473
Balozi Ali Mwadini amekutana na Mhe. Omar Talal Hariri, Rais wa Mamlaka ya Bandari ya Saudi Arabia kujadili mkakati wa kuimarisha ushirikiano kwenye huduma za bandari na kurahisisha usafirishaji wa bidhaa baina ya Tanzania na Saudi Arabia.
Walikubaliana kuanzisha timu ya pamoja itakayokutana kuangalia maeneo muhimu ya ushirikiano kwenye sekta hizo.
Walikubaliana kuanzisha timu ya pamoja itakayokutana kuangalia maeneo muhimu ya ushirikiano kwenye sekta hizo.