Tanzania na Misri wakubaliana juu ya kuendelea na mradi wa uchimbaji wa visima na mabwawa

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
666
835
TANZANIA NA MISRI WAKUBALIANA JUU YA KUENDELEA NA MRADI WA UCHIMBAJI VISIMA NA MABWAWA

Cairo-Misri

Mapema Tarehe 16 October Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso alikutana na Waziri wa Maji nchi Misri Mhe Profesor Nabhan Sweilam Jijini Cairo na kuekeza timu alioambatana nayo kukutana haraka na kukubaliana namna ya kuendelea na Mradi wa Uchimbaji wa Visima 30 na Ujenzi wa Mabwawa Mawili (2) uliokwama kutekelezeka na Serikali ya Misri nchini Tanzania.

Leo tarehe 18 October Cairo-Misri Wataalamu wa Tanzania wakiongozwa na Dkt. George Lugomela ambaye ni Mkurugenzi wa Rasilimali za Maji - Wizara ya Maji wamekutana na timu ya majadiliano kutoka Wizara ya Rasilimali za Maji na Umwagiliaji ya Misri wakiongozwa na Mkurugenzi Dr. Mamdouh Hassan na kujadili kwa kina Mradi wa Uchimbaji wa Visima virefu 30 na Ujenzi wa Mabwawa makubwa Mawili (2) ambao utekelezaji wake ulikuwa umekwama kwa muda mrefu.

Majadiliano hayo yamefanyika katika Hotel ya Nile Ritz Carlton sambamba na Maadhimisho ya Wiki ya Maji ya Cairo 2022 ambayo yanaendelea ukumbi huo.

Wataalamu hao wamekubaliana juu ya hatua za kuchukua ili kukwamua Mradi huo na kuendelea kibainisha mipango ambayo inakubalika kwa pande zote mbili. Makubalino yaliyofikiwa yatawezesha kuendelea kwa hatua za kuwekwa saini kwa Mkataba wa Ujumla wa Ushirikiano wa Kiufundi (Framework Agreement) ambao utawezesha wataalamu wa Nchi ya Misri kuja Tanzania na kufanya kazi na Wataalamu wa Tanzania ili kuweza kuuandaa vizuri zaidi mradi huo na kufikia gharama halisi ya Mradi kabla ya kuwekwa saini kwa Mkataba wa Fedha ambao utawezesha utekelezaji wa mradi kuanza haraka iwezekanavyo na kusaidia maeneo yenye changamoto kubwa ya Maji nchini yanayohitaji Visima na Mabwawa.TANZANIA NA MISRI WAKUBALIANA JUU YA KUENDELEA NA MRADI WA UCHIMBAJI VISIMA NA MABWAWA

Cairo-Misri

Mapema Tarehe 16 October Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso alikutana na Waziri wa Maji nchi Misri Mhe Profesor Nabhan Sweilam Jijini Cairo na kuekeza timu alioambatana nayo kukutana haraka na kukubaliana namna ya kuendelea na Mradi wa Uchimbaji wa Visima 30 na Ujenzi wa Mabwawa Mawili (2) uliokwama kutekelezeka na Serikali ya Misri nchini Tanzania.

Leo tarehe 18 October Cairo-Misri Wataalamu wa Tanzania wakiongozwa na Dkt. George Lugomela ambaye ni Mkurugenzi wa Rasilimali za Maji - Wizara ya Maji wamekutana na timu ya majadiliano kutoka Wizara ya Rasilimali za Maji na Umwagiliaji ya Misri wakiongozwa na Mkurugenzi Dr. Mamdouh Hassan na kujadili kwa kina Mradi wa Uchimbaji wa Visima virefu 30 na Ujenzi wa Mabwawa makubwa Mawili (2) ambao utekelezaji wake ulikuwa umekwama kwa muda mrefu.

Majadiliano hayo yamefanyika katika Hotel ya Nile Ritz Carlton sambamba na Maadhimisho ya Wiki ya Maji ya Cairo 2022 ambayo yanaendelea ukumbi huo.

Wataalamu hao wamekubaliana juu ya hatua za kuchukua ili kukwamua Mradi huo na kuendelea kibainisha mipango ambayo inakubalika kwa pande zote mbili. Makubalino yaliyofikiwa yatawezesha kuendelea kwa hatua za kuwekwa saini kwa Mkataba wa Ujumla wa Ushirikiano wa Kiufundi (Framework Agreement) ambao utawezesha wataalamu wa Nchi ya Misri kuja Tanzania na kufanya kazi na Wataalamu wa Tanzania ili kuweza kuuandaa vizuri zaidi mradi huo na kufikia gharama halisi ya Mradi kabla ya kuwekwa saini kwa Mkataba wa Fedha ambao utawezesha utekelezaji wa mradi kuanza haraka iwezekanavyo na kusaidia maeneo yenye changamoto kubwa ya Maji nchini yanayohitaji Visima na Mabwawa.

IMG-20221019-WA0141.jpg
IMG-20221019-WA0140(2).jpg
 
Mradi huu huwa unaletwa pale ndugu zao katika imani wanapokuwa madarakani. Nchi isiyoweza kuitumia rasilimali yake ya maji katika ziwa victoria na kuruhusu wengine watumie.

Sasa hao wapuuzi wameenda hapo riz calton wamepewa massage wanaanza kuleta upumbavu wa mabwawa na visima. Kuna umuhimu watu kama hawa wawe wanakamatwa na kufunguliwa mashtaka.
 
Mabwawa mawili yatajengwa wapi? Wananchi watakaofaidika na pia wale watakaopisha mradi kufanyika ktk maeneo yao wanafahamu kuhusu azma ya ujenzi huu au kila kitu ni siri ?
 
Tunataka tutumie maji ya Ziwa victoria. Misri waache Janja yao ya kutuchimbia visima ili tusivune maji ya ziwa victoria
Katika mambo ambayo Edward Lowassa atakumbukwa akiwa waziri wa maji ni kutetea haki ya Tanzania kutumia maji ya ziwa Victoria. Miradi yote ya maji ya Victoria ni zao la EL kutilia ngumu Egypt kutoruhusu maji

Lowassa alikataa Riparian states kutumia mkataba wa 1929 unaowapa Egypt haki ya maji ya Victoria kuliko nchi husika. Kupitia Nile basin initiative (NBI) nchi ziliamua kutumia maji ya Victoria kwa maendeleo yake
Ethiopia wamewekea ngumu Egypt kiasi cha kutishiwa kuwa na vita lakini hawakubabaika

Hiki kinachofanyika sasa kuhusu visima kilianza miaka ya 2000 kama utapeli ili kuifanya Tanzania yenye influence katika ziwa Victoria iende kinyume na makubaliano na washirika wengine! huu si mradi ni utapeli

Nashangaa kuna viongozi wa nchi hii wanaukubali utapeli huu hadharani! inasikitisha sana

Kwahili tumshukuru Edward Lowassa na ni legacy yake licha ya zigo la madudu alillobeba

JokaKuu Mag3 Pascal Mayalla
 
Wamisri wanalinda source yao baada ya Wahabeshi kuwadindia.

Tusije tu tukaishusha Water table yetu mpaka matetemeko yaanze kutusumbua.

Hivi hao wanaohujumu maji hapo Mwanza wako kwenye payroll ya Waijipti?
 
Katika mambo ambayo Edward Lowassa atakumbukwa akiwa waziri wa maji ni kutetea haki ya Tanzania kutumia maji ya ziwa Victoria. Miradi yote ya maji ya Victoria ni zao la EL kutilia ngumu Egypt kutoruhusu maji

Lowassa alikataa Riparian states kutumia mkataba wa 1929 unaowapa Egypt haki ya maji ya Victoria kuliko nchi husika. Kupitia Nile basin initiative (NBI) nchi ziliamua kutumia maji ya Victoria kwa maendeleo yake
Ethiopia wamewekea ngumu Egypt kiasi cha kutishiwa kuwa na vita lakini hawakubabaika

Hiki kinachofanyika sasa kuhusu visima kilianza miaka ya 2000 kama utapeli ili kuifanya Tanzania yenye influence katika ziwa Victoria iende kinyume na makubaliano na washirika wengine! huu si mradi ni utapeli

Nashangaa kuna viongozi wa nchi hii wanaukubali utapeli huu hadharani! inasikitisha sana

Kwahili tumshukuru Edward Lowassa na ni legacy yake licha ya zigo la madudu alillobeba

JokaKuu Mag3 Pascal Mayalla

..huo mkataba ni mbaya sana.

..Na ukitaka kujua ubaya wake angazia mgogoro kati ya Ethiopia na Misri.

..Misri ndio wazalishaji wakubwa wa machungwa barani Afrika kama sio duniani.

..Na uzalishaji huo kwa kiwango kikubwa unatumia maji ya mto Nile, na zaidi blue Nile unaotokea Ethiopia.

..Wakati huohuo Waethiopia wanataabika kwa njaa, lakini Blue Nile inatokea kwao. Zaidi wana tatizo kubwa sana la nishati ya umeme.

..Na Misri amejisahau kabisa anajiona yeye ni Muarabu, na hachangamani wala kutafuta maelewano na nchi za Afrika.

..Misri wangekuwa wanaona mbali wangewasaidia Ethiopia kuzalisha umeme kwa kutumia vyanzo mbadala.

..Walitakiwa washughulikie suala hilo miaka ya 90 na sio kusubiri mpaka Ethiopia walipoanza ujenzi wa mradi wa umeme wa nguvu ya maji.

..Kwa maoni yangu hivyo visima ambavyo Misri wanatoa kama msaada lengo lake ni kumhujumu Ethiopia.

..Misri wanataka kutununua ili tuunge mkono mkataba wa kikoloni wa matumizi ya maji ya mto Nile.
 
Katika mambo ambayo Edward Lowassa atakumbukwa akiwa waziri wa maji ni kutetea haki ya Tanzania kutumia maji ya ziwa Victoria. Miradi yote ya maji ya Victoria ni zao la EL kutilia ngumu Egypt kutoruhusu maji

Lowassa alikataa Riparian states kutumia mkataba wa 1929 unaowapa Egypt haki ya maji ya Victoria kuliko nchi husika. Kupitia Nile basin initiative (NBI) nchi ziliamua kutumia maji ya Victoria kwa maendeleo yake
Ethiopia wamewekea ngumu Egypt kiasi cha kutishiwa kuwa na vita lakini hawakubabaika

Hiki kinachofanyika sasa kuhusu visima kilianza miaka ya 2000 kama utapeli ili kuifanya Tanzania yenye influence katika ziwa Victoria iende kinyume na makubaliano na washirika wengine! huu si mradi ni utapeli

Nashangaa kuna viongozi wa nchi hii wanaukubali utapeli huu hadharani! inasikitisha sana

Kwahili tumshukuru Edward Lowassa na ni legacy yake licha ya zigo la madudu alillobeba

JokaKuu Mag3 Pascal Mayalla
Yaani Sisi Majinga kwelikweli.

Mmisri akishakujengea visima atataka kukubind ili ujicommit kutotumia maji ya ziwa victoria, maana hajengi visima bure, naye anataka assurance kutoka kwako.

Mmisiri anacheza divide and rule, anataka kutugawa watu wa maziwa makuu into pieces ili afanikiwe ajenda yake.

Tusikubali Ujinga huu wa kubadilishana mlima kwa kichuguu.
 
Kama msaada vile, ili tu muwaachie Nile. Na visima vyote watachimba kanda ya ziwa.

Hivi mradi wa kuyatoa maji Ziwa Victoria kuyaleta Dodoma umefikia wapi?
 
TANZANIA NA MISRI WAKUBALIANA JUU YA KUENDELEA NA MRADI WA UCHIMBAJI VISIMA NA MABWAWA

Cairo-Misri

Mapema Tarehe 16 October Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso alikutana na Waziri wa Maji nchi Misri Mhe Profesor Nabhan Sweilam Jijini Cairo na kuekeza timu alioambatana nayo kukutana haraka na kukubaliana namna ya kuendelea na Mradi wa Uchimbaji wa Visima 30 na Ujenzi wa Mabwawa Mawili (2) uliokwama kutekelezeka na Serikali ya Misri nchini Tanzania.

Leo tarehe 18 October Cairo-Misri Wataalamu wa Tanzania wakiongozwa na Dkt. George Lugomela ambaye ni Mkurugenzi wa Rasilimali za Maji - Wizara ya Maji wamekutana na timu ya majadiliano kutoka Wizara ya Rasilimali za Maji na Umwagiliaji ya Misri wakiongozwa na Mkurugenzi Dr. Mamdouh Hassan na kujadili kwa kina Mradi wa Uchimbaji wa Visima virefu 30 na Ujenzi wa Mabwawa makubwa Mawili (2) ambao utekelezaji wake ulikuwa umekwama kwa muda mrefu.

Majadiliano hayo yamefanyika katika Hotel ya Nile Ritz Carlton sambamba na Maadhimisho ya Wiki ya Maji ya Cairo 2022 ambayo yanaendelea ukumbi huo.

Wataalamu hao wamekubaliana juu ya hatua za kuchukua ili kukwamua Mradi huo na kuendelea kibainisha mipango ambayo inakubalika kwa pande zote mbili. Makubalino yaliyofikiwa yatawezesha kuendelea kwa hatua za kuwekwa saini kwa Mkataba wa Ujumla wa Ushirikiano wa Kiufundi (Framework Agreement) ambao utawezesha wataalamu wa Nchi ya Misri kuja Tanzania na kufanya kazi na Wataalamu wa Tanzania ili kuweza kuuandaa vizuri zaidi mradi huo na kufikia gharama halisi ya Mradi kabla ya kuwekwa saini kwa Mkataba wa Fedha ambao utawezesha utekelezaji wa mradi kuanza haraka iwezekanavyo na kusaidia maeneo yenye changamoto kubwa ya Maji nchini yanayohitaji Visima na Mabwawa.TANZANIA NA MISRI WAKUBALIANA JUU YA KUENDELEA NA MRADI WA UCHIMBAJI VISIMA NA MABWAWA

Cairo-Misri

Mapema Tarehe 16 October Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso alikutana na Waziri wa Maji nchi Misri Mhe Profesor Nabhan Sweilam Jijini Cairo na kuekeza timu alioambatana nayo kukutana haraka na kukubaliana namna ya kuendelea na Mradi wa Uchimbaji wa Visima 30 na Ujenzi wa Mabwawa Mawili (2) uliokwama kutekelezeka na Serikali ya Misri nchini Tanzania.

Leo tarehe 18 October Cairo-Misri Wataalamu wa Tanzania wakiongozwa na Dkt. George Lugomela ambaye ni Mkurugenzi wa Rasilimali za Maji - Wizara ya Maji wamekutana na timu ya majadiliano kutoka Wizara ya Rasilimali za Maji na Umwagiliaji ya Misri wakiongozwa na Mkurugenzi Dr. Mamdouh Hassan na kujadili kwa kina Mradi wa Uchimbaji wa Visima virefu 30 na Ujenzi wa Mabwawa makubwa Mawili (2) ambao utekelezaji wake ulikuwa umekwama kwa muda mrefu.

Majadiliano hayo yamefanyika katika Hotel ya Nile Ritz Carlton sambamba na Maadhimisho ya Wiki ya Maji ya Cairo 2022 ambayo yanaendelea ukumbi huo.

Wataalamu hao wamekubaliana juu ya hatua za kuchukua ili kukwamua Mradi huo na kuendelea kibainisha mipango ambayo inakubalika kwa pande zote mbili. Makubalino yaliyofikiwa yatawezesha kuendelea kwa hatua za kuwekwa saini kwa Mkataba wa Ujumla wa Ushirikiano wa Kiufundi (Framework Agreement) ambao utawezesha wataalamu wa Nchi ya Misri kuja Tanzania na kufanya kazi na Wataalamu wa Tanzania ili kuweza kuuandaa vizuri zaidi mradi huo na kufikia gharama halisi ya Mradi kabla ya kuwekwa saini kwa Mkataba wa Fedha ambao utawezesha utekelezaji wa mradi kuanza haraka iwezekanavyo na kusaidia maeneo yenye changamoto kubwa ya Maji nchini yanayohitaji Visima na Mabwawa.

View attachment 2391834View attachment 2391835
Miaka 60 baada ya uhuru hatuwezi kujichimbia visima vya maji ns kujijengea mabwawa. Tuliptia njia gani?
 
Kama msaada vile, ili tu muwaachie Nile. Na visima vyote watachimba kanda ya ziwa.

Hivi mradi wa kuyatoa maji Ziwa Victoria kuyaleta Dodoma umefikia wapi?

..hata hapa Tanzania kuna mazonge-zonge kuhusu matumizi ya maji toka Ziwa Victoria.

..kwa mfano, nimewahi kusikia malalamiko ya wananchi wa mkoa wa Mara kutokupatiwa maji toka ziwa Victoria, wakati maji hayo yakielekezwa mkoani Tabora.
 
Naomba kuuliz uchimbaji wa visima hauwezi kusababisha sink holes?
Kuchimba kisima hakusababishi ila over pumping ndio inaweza sababisha kwa kushusha hydraulic pressure.
Japan ishawahi tokea ikabidi waanze kufanya artificial recharge. Maana mji ulianza kudumbukia.
 
..huo mkataba ni mbaya sana.

..Na ukitaka kujua ubaya wake angazia mgogoro kati ya Ethiopia na Misri.

..Misri ndio wazalishaji wakubwa wa machungwa barani Afrika kama sio duniani.

..Na uzalishaji huo kwa kiwango kikubwa unatumia maji ya mto Nile, na zaidi blue Nile unaotokea Ethiopia.

..Wakati huohuo Waethiopia wanataabika kwa njaa, lakini Blue Nile inatokea kwao. Zaidi wana tatizo kubwa sana la nishati ya umeme.

..Na Misri amejisahau kabisa anajiona yeye ni Muarabu, na hachangamani wala kutafuta maelewano na nchi za Afrika.

..Misri wangekuwa wanaona mbali wangewasaidia Ethiopia kuzalisha umeme kwa kutumia vyanzo mbadala.

..Walitakiwa washughulikie suala hilo miaka ya 90 na sio kusubiri mpaka Ethiopia walipoanza ujenzi wa mradi wa umeme wa nguvu ya maji.

..Kwa maoni yangu hivyo visima ambavyo Misri wanatoa kama msaada lengo lake ni kumhujumu Ethiopia. Misri wanataka kutununua ili tuunge mkono mkataba wa kikoloni wa matumizi ya maji ya mto Nile.
Yes Misri wanajiona ni Waarabu na wana uwezo wa kuwatumia Waafrika wanavyotaka
Yaani wanataka maji ya Nile kwa kilimo bila kujali kuna watu Shinyanga na Dodoma hawana maji ya kunywa

Kama wanaweza kutujengea visima kwanini wao wasijenge visima huko kwao wakaachana na Nile?
Mwaka jana walitishia Vita na Ethiopia na Marekani akawekwa mtu kati kwa interest zake

Mwezi wa 8 walipeleka Malori 20 kule Juba south Sudan '' eti kupanua na kusafisha mto Nile ' ili kusiwe na mafuriko. Uongo mtupu wanataka maji ya Nile

Hathitaji visima kama wanataka kutusaidia wanapaswa kutusadia kuvuta maji ya Victoria !
Tena wanatumia sana awamu hii katika kuwadanganya viongozi wetu na uwekezaji, yote hiyo ni kutaka kutununua. Visima hivyo ni 'attached strings' kwamba tukienda katika NBI tuwageuke wenzetu wa nchi 10

Tuna viongozi wa ajabu sana nchi hii, hivi hili nalo linahitaji Diploma? Real?
Tena wanapiga picha bila aibu na wametumwa na Serikali kuuza UTU na Utaifa wetu kwa visima na mabwawa

Rais SSH na VP Mpango huu mkataba haufai hata kwa bahati mbaya!

Waarabu wanatutumia kama yule wa Morocco aliyeahidi Uwanja Dodoma ili tumuunge mkono 'ku host World cup'' alipokosa hana habari na sisi

Tuna viongozi wenye maono hafifu na waa ajabu sana!
 
Yaani Sisi Majinga kwelikweli.

Mmisri akishakujengea visima atataka kukubind ili ujicommit kutotumia maji ya ziwa victoria, maana hajengi visima bure, naye anataka assurance kutoka kwako.

Mmisiri anacheza divide and rule, anataka kutugawa watu wa maziwa makuu into pieces ili afanikiwe ajenda yake.

Tusikubali Ujinga huu wa kubadilishana mlima kwa kichuguu.
Hivi kweli ndani ya Serikali kumekosekana mtu mmoja wa kuona ujinga huu! tuna matatizo makubwa sana

Huu mkataba haukufaa hata kuanza kujadiliwa, kuna kila nyaraka za miaka 20 kuhusu mgogoro wa Nile

Nchi 10 walisema mkataba wa Mwingereza wa mwaka 1929 uliotoa 'monopoly' ya Egypt ulilenga masilahi ya Uingereza siyo ya Waafrika zikakataa! leo Tanzania tunanunuliwa tukawasaliti Waafrika wenzetu

Huu mkataba na wa Mangungo hauna tofauti! Tuna viongozi wa ajabu sana katika Taifa hili

Hivi Maprofesa, PhD , Master etc za Vyuo vikuu, Serikalini na Bungeni zinatumika wapi mungu wangu!
Hili mtu wa kawaida anayesoma magazeti anajua ni utapeli, sisi tumepeleka viongozi wanapiga picha tena kwa tabasamu halafu mkataba unapelekwa Cabinet ! Tuna matatizo makubwa sana nchi hii
 
Yes Misri wanajiona ni Waarabu na wana uwezo wa kuwatumia Waafrika wanavyotaka
Yaani wanataka maji ya Nile kwa kilimo bila kujali kuna watu Shinyanga na Dodoma hawana maji ya kunywa

Kama wanaweza kutujengea visima kwanini wao wasijenge visima huko kwao wakaachana na Nile?
Mwaka jana walitishia Vita na Ethiopia na Marekani akawekwa mtu kati kwa interest zake

Mwezi wa 8 walipeleka Malori 20 kule Juba south Sudan '' eti kupanua na kusafisha mto Nile ' ili kusiwe na mafuriko. Uongo mtupu wanataka maji ya Nile

Hathitaji visima kama wanataka kutusaidia wanapaswa kutusadia kuvuta maji ya Victoria !
Tena wanatumia sana awamu hii katika kuwadanganya viongozi wetu na uwekezaji, yote hiyo ni kutaka kutununua. Visima hivyo ni 'attached strings' kwamba tukienda katika NBI tuwageuke wenzetu wa nchi 10

Tuna viongozi wa ajabu sana nchi hii, hivi hili nalo linahitaji Diploma? Real?
Tena wanapiga picha bila aibu na wametumwa na Serikali kuuza UTU na Utaifa wetu kwa visima na mabwawa

Rais SSH na VP Mpango huu mkataba haufai hata kwa bahati mbaya!

Waarabu wanatutumia kama yule wa Morocco aliyeahidi Uwanja Dodoma ili tumuunge mkono 'ku host World cup'' alipokosa hana habari na sisi

Tuna viongozi wenye maono hafifu na waa ajabu sana!
Ule mkataba ambao JPM aliingia na Misri kuhusu ujenzi wa Stieglers Gorge sijui masharti yake ni yapi ila naamini lazima wamisri walijaribu kupenyeza au walipenyeza ajenda yao kuhusu maji ya Ziwa Victoria.

Pia kama Ulivyosema, Wamisri wanakuja na Sound nzurinzuri za uwekezaji ili kuwalainisha viongozi wetu. Wanajidai eti wanataka kuwekeza huko Kigamboni

Ila hii ya Ujenzi wa visima ni upumbavu wa karne. Hii serikali yetu juzi hapa imeunguza bilioni 649 kwenye sensa ya watu na makazi. Hizo pesa zingeweza kusolve ishu ya maji nchini kwa kiwango kikubwa sana!
 
Hivi kweli ndani ya Serikali kumekosekana mtu mmoja wa kuona ujinga huu! tuna matatizo makubwa sana

Huu mkataba haukufaa hata kuanza kujadiliwa, kuna kila nyaraka za miaka 20 kuhusu mgogoro wa Nile

Nchi 10 walisema mkataba wa Mwingereza wa mwaka 1929 uliotoa 'monopoly' ya Egypt ulilenga masilahi ya Uingereza siyo ya Waafrika zikakataa! leo Tanzania tunanunuliwa tukawasaliti Waafrika wenzetu

Huu mkataba na wa Mangungo hauna tofauti! Tuna viongozi wa ajabu sana katika Taifa hili

Hivi Maprofesa, PhD , Master etc za Vyuo vikuu, Serikalini na Bungeni zinatumika wapi mungu wangu!
Hili mtu wa kawaida anayesoma magazeti anajua ni utapeli, sisi tumepeleka viongozi wanapiga picha tena kwa tabasamu halafu mkataba unapelekwa Cabinet ! Tuna matatizo makubwa sana nchi hii
Unafikiri hao watu wakishadumbukiziwa dola milioni moja moja kwenye account zao wanakumbuka habari za national interests?.
Sana sana wanachoomba ni viinvestment vya hapa na pale ili kuwazuga watu kuwa wamefanya kitu cha maana lakini eventually wanauza urithi wetu kama Esau alivyouza urithi wake kwa bakuli la uji wa dengu!
 
Back
Top Bottom