The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani japo umaskini wetu ni wa kipato tu na si RASILIMALI.Moja ya vitu ambavyo ni viashiria vya umaskini wetu ni mipango miji yetu ilivyo kwa mjini na hata vijijini. KWA MIJI ILIYOPANGWA VYEMA,KUNA MAMBO MENGI YENYE FAIDA NIKITAJA FAIDA CHACHE MOJAWAOPO NI KUEPUKANA NA MSONGAMANO WA MAGARI,HUSUSANI KWA MIJI INAYOKUWA KWA KASI HAPA TZ. PIA KUEPUKANA NA MAGONJWA MBALIMBALI KAMA MALARIA NA MENGINE YA MLIPUKO................Na faida nyingine nyingi ambazo zingetuondolea adha nyingi.... But sijajua nini kwanini serikali haijaweka kipaumbele katika makazi yaliyopimwa,na kuhakikisha nyumba hazijengwi iwe mjini au vijijini bila maeneo husika kupimwa kama kilivyopimwa Masaki na kwingineko na MTU ANAYEJARIBU KTK ENEO LISILOPIMWA HUCHUKULIWA HATUA HATA KABLA UJENZI HAUJAFIKA MBALI HII INGEONDOA TATIZO KABISA WAKATI HUOHUO VIWANJA VILIVYOPIMWA VINAKUWA VINGI HATA KULIKO MAHITAJI KULIKO HIVI SASA VIWANJA VILIVYOPIMWA HUSIKIKA USIKU WA MANANE KUKISHAKUCHA WENYE FEDHA WAMESHAVIMILKI. WANA JF NINI TATIZO KWA SERIKALI YETU KUFANYA HIVI,KWANI FAIDA NI NYINGI SANA....Nawasilisha