ANDREW JOSEPH
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 422
- 405
Hapa navuta picha tu kama Tanzania ingekuwa kama Misri ingekuwaje nchi yenye jangwa kila mahara
Tuna mito,bahari,maziwa,ardhi nzuri ya kilimo pamoja na maeneo mengi ya utalii
Miaka 50 toka tupate uhuru bado tunazungumzia habari ya madawati sijui madawa hospitalini mala mikopo ya wanafunzi shida harafu mtu unatuambia serikali ina uchungu na watu wake?
Majizi yaleyale yaliyoingia mikataba ya kipumbavu kwenye madini yetu eti leo ndio wanasimama majukwaani na kusema wana hasira na mikataba iliyoingiwa
Hivi watanzani tujiulize siku hawa watu wanakuja kuwekeza walitumia mtutu wa bunduki kujipatia mikataba? Au kuna watu walikaa mezani na kuchukua asilimia zao harafu wakakaa pembeni?
Mwambieni mheshimiwa watanzania tuna akiri timamu hao anaowatetea kuwa wamefanya kazi nzuri tuwaache wapumzike na kuapa kuwalinda kwa nguvu zake zote hao ndio watuhumiwa wakubwa wanatakiwa kuwajibika kwa uzembe walioufanya kipindi wako madarakani
Ni upuuzi kutangaza vita ya waharifu wakati walioasisi wanakumbatiwa
Tuna mito,bahari,maziwa,ardhi nzuri ya kilimo pamoja na maeneo mengi ya utalii
Miaka 50 toka tupate uhuru bado tunazungumzia habari ya madawati sijui madawa hospitalini mala mikopo ya wanafunzi shida harafu mtu unatuambia serikali ina uchungu na watu wake?
Majizi yaleyale yaliyoingia mikataba ya kipumbavu kwenye madini yetu eti leo ndio wanasimama majukwaani na kusema wana hasira na mikataba iliyoingiwa
Hivi watanzani tujiulize siku hawa watu wanakuja kuwekeza walitumia mtutu wa bunduki kujipatia mikataba? Au kuna watu walikaa mezani na kuchukua asilimia zao harafu wakakaa pembeni?
Mwambieni mheshimiwa watanzania tuna akiri timamu hao anaowatetea kuwa wamefanya kazi nzuri tuwaache wapumzike na kuapa kuwalinda kwa nguvu zake zote hao ndio watuhumiwa wakubwa wanatakiwa kuwajibika kwa uzembe walioufanya kipindi wako madarakani
Ni upuuzi kutangaza vita ya waharifu wakati walioasisi wanakumbatiwa