Zakumi,
Basi umepotosha maana kwa sababu hakizungumziwi chombo isipokuwa progam hiyo ya SAP iliyoturudisha nyuma..
Tunamlaumu Kikwete sio kwa sababu ni Kikwete isipokuwa kwa vitu ambavyo ameturudisha nyuma akiwa rais, yawezekana kabisa kuna mazuri aloyafanya kabla..Tunachopima ni pale alipochukua yeye baada ya Mkapa. Makosa au mapungufu ya Mkapa yatabakia na Mkapa..
Vipi yamekuwa hayo!..Mkandara:
I said what I had seen.
__________________
I am not sure if you understood me. Nimetoa mfano kuonyesha kuwa WB na IMF sio wa kulaumiwa. Kwa sababu kabla ya SAPs kuanza in full swing, walishasaidia sana modernity yetu.__________________
Basi umepotosha maana kwa sababu hakizungumziwi chombo isipokuwa progam hiyo ya SAP iliyoturudisha nyuma..
Tunamlaumu Kikwete sio kwa sababu ni Kikwete isipokuwa kwa vitu ambavyo ameturudisha nyuma akiwa rais, yawezekana kabisa kuna mazuri aloyafanya kabla..Tunachopima ni pale alipochukua yeye baada ya Mkapa. Makosa au mapungufu ya Mkapa yatabakia na Mkapa..