Kwa mbalii namuona magu anacheza yope
Kwani ni lini tulizuiwa kuvaa balakoa,, lini tulizuiwa kujilinda ww unaeona hayo jikinge washauri na ndg zako wajikinge!!!Hakuna anaetaka lockdown. watu waambiwe na tahadhari zichuliwe. sio kulundika watu kwenye mwendokasi as if hakuna ugonjwa mbaya zaidi hata barakoa hawavai hii kitu unaondoka na watu kama vile utani aisee... Uliza pale wizarani Dodoma mpk sasa ni madereva wangapi wamefariki? Uliza wizarani pale Dodoma ni wafanyakazi wangapi wameondoka.. Eee Mungu tuongoze
Dodoma kimenuka watu wanatumia oxygen Hadi majumbani.Ndio maana kakimbia na harudi mpaka patulie.Hakuna anaetaka lockdown. watu waambiwe na tahadhari zichuliwe. sio kulundika watu kwenye mwendokasi as if hakuna ugonjwa mbaya zaidi hata barakoa hawavai hii kitu unaondoka na watu kama vile utani aisee... Uliza pale wizarani Dodoma mpk sasa ni madereva wangapi wamefariki? Uliza wizarani pale Dodoma ni wafanyakazi wangapi wameondoka.. Eee Mungu tuongoze
Sijui unaishi wapi juzi Madiwani Moshi wamevuliwa barakoa.Kwani ni lini tulizuiwa kuvaa balakoa,, lini tulizuiwa kujilinda ww unaeona hayo jikinge washauri na ndg zako wajikinge!!!
Kwaiyo mnasubiri mpaka serikali itangaze kujikinga sio?
Wenye mafanikio ni wale wasiofuata mkumbo.
Hiyo ni sketi au kaptula?Ina maana Magufuli ndio mwanafunzi mkaidi darasa zima, wenzake wote wanaimba na kucheza yeye anacheza sukari ya zuchu na kisketi chake.
Wala hafuati tune ya mziki wenyeweIna maana Magufuli ndio mwanafunzi mkaidi darasa zima, wenzake wote wanaimba na kucheza yeye anacheza sukari ya zuchu na kisketi chake.
Ndugu yangu kuna watu hawasikii mpk wasikie kutoka juu ambayo itakuwa too lateKwani ni lini tulizuiwa kuvaa balakoa,, lini tulizuiwa kujilinda ww unaeona hayo jikinge washauri na ndg zako wajikinge!!!
Kwaiyo mnasubiri mpaka serikali itangaze kujikinga sio?
🤔🤔🤔Ndugu yangu kuna watu hawasikii mpk wasikie kutoka juu ambayo itakuwa too late