Mwezi huu wa tisa Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano wa 55 wa wabunge wa Commonwealth utakaofanyika Arusha.Tunaambiwa kwamba wanakuja wabunge wapatao 800 hivi!Sina uhakika Tanzania imejiandaaje kufaidika na fursa za mkutano huo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.