Don Alaba
Senior Member
- Nov 3, 2010
- 167
- 18
Tanzania ilivyouanza mwaka 2011
1. Katiba Mpya
2. Noti mpya feki
3. Matokeo mabaya ya form 4
4. Malipo ya dowans
...5. Vichanga waliozikwa mwananyamala
6. Migomo ya vyuo
7. Mabomu gongo la mboto
8. Mgao wa umeme mwaka mzima
Na hii ni Februari tu Sijui tutafikaje Disemba Si Nchi Itabinafsishwa????
View attachment 23648
Tanzania ilivyouanza mwaka 2011
1. Katiba Mpya
2. Noti mpya feki
3. Matokeo mabaya ya form 4
4. Malipo ya dowans
...5. Vichanga waliozikwa mwananyamala
6. Migomo ya vyuo
7. Mabomu gongo la mboto
8. Mgao wa umeme mwaka mzima
Na hii ni Februari tu Sijui tutafikaje Disemba Si Nchi Itabinafsishwa????
View attachment 23648[/QUOTE
9.hyper inflation
10.spika bomu
11.waziri mkuu bomu
12.mkuu wa kaya bomu
ni kwili ndugu lakini hizi nyingine nizakuletwa na mafisadi..Taratibu ndio mwendo..usiogope bila challenge maisha yatakuwa yanaboa.
Du !Duh, hivi kumbe ndio kwanza February!
Naamini kwamba ikifika December tutajua mbivu mbichi!
Ila tutafika tu.