msuyaeric
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 838
- 1,167
Wakuu Habari zenu, poleni n majukumu.
Ile safari yangu ya Tanga kutumia pikipiki yangu cc110 nimefanikiwa kwenda salama na kurudi salama kabisa.. Mungu ni Mkubwa.
Niliondoka Ijumaa iliyopita, nikashinda jumamosi kwa kufanya Mizunguko ya Town na kulijua jiji pamoja na kwenda kule Amboni kwenye Mapango Ya Amboni.
Katika kuthibitisha hilo nilifunga camera kwenye Helment yangu so each and everything kipo recorded.
Video ya Safari ya kutoka Dar hadi Tanga ipo youtube nimeweka kipande cha kutoka Dar hadi Mkata then nitaedit tena kipande cha kutoka Mkata hadi Point nyingine.
Kwa upande wangu hakuna nilichopoteza, kwanza nimeenjoy road trip, nimeona vitu vingi sana barabarani pia na kunipa udhoefu mkubwa sana wa kuwapa kipaumbele mabasi au gari linalotaka kukupita.
Kiufupi, nimefanya kile moyo wangu unakipenda na hakuna mtu aliyenilazimisha kufanya.
Asante kwa wote walionishauri Service bora ya Pikipiki.
KAMA UNASWALI KARIBU UNIULIZE.
ASANTE.
Ile safari yangu ya Tanga kutumia pikipiki yangu cc110 nimefanikiwa kwenda salama na kurudi salama kabisa.. Mungu ni Mkubwa.
Niliondoka Ijumaa iliyopita, nikashinda jumamosi kwa kufanya Mizunguko ya Town na kulijua jiji pamoja na kwenda kule Amboni kwenye Mapango Ya Amboni.
Katika kuthibitisha hilo nilifunga camera kwenye Helment yangu so each and everything kipo recorded.
Video ya Safari ya kutoka Dar hadi Tanga ipo youtube nimeweka kipande cha kutoka Dar hadi Mkata then nitaedit tena kipande cha kutoka Mkata hadi Point nyingine.
Kwa upande wangu hakuna nilichopoteza, kwanza nimeenjoy road trip, nimeona vitu vingi sana barabarani pia na kunipa udhoefu mkubwa sana wa kuwapa kipaumbele mabasi au gari linalotaka kukupita.
Kiufupi, nimefanya kile moyo wangu unakipenda na hakuna mtu aliyenilazimisha kufanya.
Asante kwa wote walionishauri Service bora ya Pikipiki.
KAMA UNASWALI KARIBU UNIULIZE.
ASANTE.