joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
- Thread starter
- #41
Jipe mude wa kujielimisha kwanza kabla hujavamia mazungumzo ya kitaalamu kama haya, soma posts #7, #20 na #21 ndio utaelewa kwanini Tanzania inapata pesa nyingi zaidi ya Kenya na Uganda kwa pamoja. Remember dereva anayeendesha gari kwa Massa 16 kwa siku analipwa $200 kwa mwezi, wakati " a consultant" analipwa "$300 per hour".Sibishi habari ya utalii unachangia GDP kwa kiasi hicho ama utalii ndio sector inayofuatia baada ya madini.uwongo wako ni kwamba kiasi kinachotokana na utalii ni kikubwa sawa na kiasi cha
Uganda na Kenya waungane kitu ambacho ni uwongo mkubwa.mwaka ulioisha tulipata watalii million 1.5,Uganda million 1.8 na Kenya million 2 plus.number hazidanganyi ndugu,yaani sisi tuliopata watalii 1.5m tupate mapato makubwa sawa na Kenya +Uganda combined?wewe mwenye akili kubwa ndio unaandika huu ushuzi humu?hata Kama una league na Kenya jaribu kufikiri kabla hujaandika.