Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
Gazeti la serikali la Daily News la leo lina habari kuwa bei ya sukari nchini itapanda zaidi hadi kufikia kati ya Tshs 2500/- Tshs 3000/- kwa kilo moja. Habari hizi mbaya zinakuja wakati tayari vitu vingine muhimu kama umeme,maji,chimvi na nauli vikipanda bei kwa kasi ya ajabu! Tufika kweli namna hii!
Daily News | Sour news as sugar prices soar
Daily News | Sour news as sugar prices soar