TANZANIA - Miradi ya uzalishaji umeme kwa nguvu za maji

Liganga

Senior Member
Jul 4, 2007
165
125
Nimekua nasikia taarifa mbalimbali kuhusu shirika letu la umeme TANESCO na vyanzo vyake vya ememe pamoja na mikakati ya kutatua tatizo la umeme usio na uhakika.

Nimeamua kufungua mjadala kuhusu iki kinachojitokeza ya kwamba mradi wa umeme wa Stiglers Gorge na kucheleweshwa kwako.

Apa chini nimejaribu kuweka kiambatanishi kinachohusu mradi mwingine wa umeme wa maji uko nchini India unajulikana kama Subansiri Lower Hydroelectric Project (2000 MW). Kwa kifupi mradi huu hauna tofauti sana na huo wa apo nyumbani.

Nawasihi tujadili kwa kina, tuangalie vitu vya msing kuhusu miradi hii miwili na utekelezaji wake,

Tuangalie vitu kama EIA ilifanyika lini, mradi ulipangwa kuanza lini na hatimaye ulianza lini, gharama nzima za mradi - mchanganuo.

Kwa misingi hii apo juu tunawezajua nini kiini na ufumbuzi sahihi wa tatizo hili kwa nchi yetu ya Tanzania.

vile vile nashauri watanzania wote na jamii ya waandishi wetu wawe wanafanya uchunguzi wa kina kabla ya kuandika mada au kutoa mchango wao katika mada mbalimbali (Our nations challenges)

Attachment : View attachment SLHP_2007.pdf
 
Michoro ya Mradi SLHP_Layout.jpg
 
Advantages of Hydro Power
A renewable source of energy - saves scarce fuel reserves.
Non-polluting and hence environment friendly.
Long life - The first hydro project completed in 1897 is still in operation at Darjeeling is still in operation.
Cost of generation, operation and maintenance is lower than the other sources of energy.
Ability to start and stop quickly and instantaneous load acceptance/rejection makes it suitable to meet peak demand and for enhancing system reliability and stability.
Has higher efficiency (over 90%) compared to thermal (35%) and gas (around 50%).
Cost of generation is free from inflationary effects after the initial installation.
Storage based hydro schemes often provide attendant benefits of irrigation, flood control, drinking water supply, navigation, recreation, tourism, pisciculture etc.
Being located in remote regions leads to development of interior backward areas (education, medical, road communication, telecommunication etc.)
 
Pia kuna mradi wa Makaa ya mawe Kiwira waufufue uzalishe umeme wa bei ya chini.

Pia kuna Wind power project watumie kuzalisha umeme uingia katika Gridi.
 
:embarrassed: Yaani watu tunaandika bila kutafakali kwanza. Huko Norway kuna Chuo kikuu cha NTNU, chuo cha taasisi mbalimbali za teknologia pamoja na shirika la taifa la utafiti la SINTEF. Hivi vyombo viwili hupokea wanafunzi wa Masters na PhD kutoka nchi mbalimbali duniani kuja kuchukua teknolia ya HYDROPOWER, Tanzania ni nchi mojawapo iliyopewa kwota kubwa ya wanafunzi kwenda kusoma huko. Je wakirudi Tanzania wanatumiaje hiyo Hydroelectical power knowledge waliyoipata huko Norway? TANESCO yenyewe kila mwaka inapeleka watalaamu wake ng'ambo kusomea hayahaya, jea wako wapi, kwa nini nchi haina umeme wa japo kuitosheleza Dar tu? UFISADI mbele , maendeleo ya Taifa nyuma.
 
Dah! Washkaji mbona twatiana machungu? Nikicompare kuanzia IPTL hadi DOWANS sioni Social + impact ya miradi nikilinganisha na mradi mmoja tu wa Bwawa la Nyumba ya Mungu.
 
Back
Top Bottom