Tanzania: Mihimili mitatu ya Dola na mwingiliano unaokanganya

Kinadharia, Tanzania ina mihimili mitatu ya utawala, SERIKALI, BUNGE NA MAHAKAMA.

Kuanzia awamu ya 5, kimamlaka, mihimili yote mitatu imekufa, umezaliwa mhimili mmoja tu, wa RAIS.

Ndiyo maana unasikia Rais ametoa hela, Rais ameiagiza mahakama, Rais amilikemea bunge.

Ukiona kuna mradi mzuri umejengwa kuwahudumia wananchi, ujue ni Rais.

Ukiona watu wasio na hatia wanapigwa virungu, ujue ni Rais.

Ukiona watu wanafutiwa kesi za kubambikiziwa, uje ni Rais.

Ukiona watu wanabambikiziwa kesi na kusoteshwa mahabusu, ujue ni Rais.

Ukiona viongozi wakubwa au wanafungwe au kusoteshwa mahabusu, ujue ni Rais.

Uhuru wa mahakama umeachwa kwa wezi wa kuku, vitunguu na nyanya.

Uhuru wa Bunge, umeachwa katika kuipongeza Serikali tu!

Rais aliagiza akina Rugemarila, wakae ndani, wakaa ndani. Rais mwinhine akaagiza akina Rugemarilla watolewe, wakatolewa. Kama tungekuwa na mahakama, Rugemarilla na wenzake ama wasingesoteshwa mahabusu, au kama wangekuwa wana kesi, basi wasingetolewa kwa vile tu Rais amebadilika.

Kwa sasa hakuna linalofanyika, liwe jema au baya, bila hiari ya Rais. Na juzi jaji mkuu akakazia kuwa majaji wanapotoa hukumu wasiangalie tu sheria inasema nini bali waangalie pia mahitaji ya mihimili mingine, na kwa vile mihimili yote practically imekufa, alimaanisha majaji waangalie Rais anataka nini.

Mbowe atafungwa au kuachiwa, kutegemea Rais, kama mhimili, atataka nini. Majaji na mahakimu wamekuwa visemeo tu vya mhimili mpya, wa RAIS.

Taifa lipo kwenye hali ngumu sana kwa sababu lipo kwenye maamuzi ya mtu mmoja ambaye kikatiba wala siyo miongoni mwa ile mihimili mitatu, yeye ni kiongozi tu wa mhimili mmoja.

Tupiganie tupate katiba mpya au tuishi kama mbwa au paka anayependwa au kuchukiwa na bwana wake.

Umenena vema MKUU.

Hii nchi inabidi tukubaliane UPYA namna gani tunapswa iendeshwe.

Hi mihimili tuipange UPYA kila mmoja ukae kwa Heshima katika nafasi yake pasipo kuingilia mhimili mwingine.

MIHIMILI ITENGANE NA IONEKANE KUWA IMETENGANA.

Kwa sababu hiyo TUNAHITAJI KATIBA MPYA!
 
😁😁😁
5678901.jpg
 
Hoja za aina hii zilitakiwa zianze wakati wa hukumu ya Sabaya afu ndo wangemalizia katika hii hukumu ya Mbowe. Ila isiwe ile ya kunya anye kuku afu kwa bata ionekane kaharisha.
Kwa aina ya watanzania Kama wewe tutalia Sana kwa ushahidi huo wote unamuona sabaya Hana hatia? Ilimradi tu Ni mwana kwenu.
 
Namuamini Mungu wa hayati Chacha Wangwe alieuwawa kwa sababu ya kutaka kugombea uenyekiti wa chama cha mtuhumiwa wetu. RIP Chacha Wangwe Mungu ameanza kukulipia hapa hapa duniani.
Maadui wake walienda rikizo kumtia ndani?
 
Kinadharia, Tanzania ina mihimili mitatu ya utawala, SERIKALI, BUNGE NA MAHAKAMA.

Kuanzia awamu ya 5, kimamlaka, mihimili yote mitatu imekufa, umezaliwa mhimili mmoja tu, wa RAIS.

Ndiyo maana unasikia Rais ametoa hela, Rais ameiagiza mahakama, Rais amilikemea bunge.

Ukiona kuna mradi mzuri umejengwa kuwahudumia wananchi, ujue ni Rais.

Ukiona watu wasio na hatia wanapigwa virungu, ujue ni Rais.

Ukiona watu wanafutiwa kesi za kubambikiziwa, uje ni Rais.

Ukiona watu wanabambikiziwa kesi na kusoteshwa mahabusu, ujue ni Rais.

Ukiona viongozi wakubwa au wanafungwe au kusoteshwa mahabusu, ujue ni Rais.

Uhuru wa mahakama umeachwa kwa wezi wa kuku, vitunguu na nyanya.

Uhuru wa Bunge, umeachwa katika kuipongeza Serikali tu!

Rais aliagiza akina Rugemarila, wakae ndani, wakaa ndani. Rais mwinhine akaagiza akina Rugemarilla watolewe, wakatolewa. Kama tungekuwa na mahakama, Rugemarilla na wenzake ama wasingesoteshwa mahabusu, au kama wangekuwa wana kesi, basi wasingetolewa kwa vile tu Rais amebadilika.

Kwa sasa hakuna linalofanyika, liwe jema au baya, bila hiari ya Rais. Na juzi jaji mkuu akakazia kuwa majaji wanapotoa hukumu wasiangalie tu sheria inasema nini bali waangalie pia mahitaji ya mihimili mingine, na kwa vile mihimili yote practically imekufa, alimaanisha majaji waangalie Rais anataka nini.

Mbowe atafungwa au kuachiwa, kutegemea Rais, kama mhimili, atataka nini. Majaji na mahakimu wamekuwa visemeo tu vya mhimili mpya, wa RAIS.

Taifa lipo kwenye hali ngumu sana kwa sababu lipo kwenye maamuzi ya mtu mmoja ambaye kikatiba wala siyo miongoni mwa ile mihimili mitatu, yeye ni kiongozi tu wa mhimili mmoja.

Tupiganie tupate katiba mpya au tuishi kama mbwa au paka anayependwa au kuchukiwa na bwana wake.
Nahisi una umri mdogo kuliko wangu au tuko sawa, ila wewe mvivu wa kusoma vizuri history ya nchi hii. Kuhusu mihimi li ya dola na utendaji kazi, kwa umri wangu na wako; Rejea Sheria ya Takrima na msimamo wa Bunge, Mahakama na Serikali.

Rejea,
Maazimio ya Bunge kwa Serikali kuhusu Richmond mwaka 2008 na Operesheni Tokomeza.

Hiyo ni mifano michache, ila soma history vizuri. Mwenzako nasoma kila siku bila uvivu.. kurejea tu mifano hiyo utajua mihimili ya dola Tanzania iko huru.



Tanzania ni nchi ya kidemokrasia.
 
Kinadharia, Tanzania ina mihimili mitatu ya utawala, SERIKALI, BUNGE NA MAHAKAMA.

Kuanzia awamu ya 5, kimamlaka, mihimili yote mitatu imekufa, umezaliwa mhimili mmoja tu, wa RAIS.

Ndiyo maana unasikia Rais ametoa hela, Rais ameiagiza mahakama, Rais amilikemea bunge.

Ukiona kuna mradi mzuri umejengwa kuwahudumia wananchi, ujue ni Rais.

Ukiona watu wasio na hatia wanapigwa virungu, ujue ni Rais.

Ukiona watu wanafutiwa kesi za kubambikiziwa, uje ni Rais.

Ukiona watu wanabambikiziwa kesi na kusoteshwa mahabusu, ujue ni Rais.

Ukiona viongozi wakubwa au wanafungwe au kusoteshwa mahabusu, ujue ni Rais.

Uhuru wa mahakama umeachwa kwa wezi wa kuku, vitunguu na nyanya.

Uhuru wa Bunge, umeachwa katika kuipongeza Serikali tu!

Rais aliagiza akina Rugemarila, wakae ndani, wakaa ndani. Rais mwinhine akaagiza akina Rugemarilla watolewe, wakatolewa. Kama tungekuwa na mahakama, Rugemarilla na wenzake ama wasingesoteshwa mahabusu, au kama wangekuwa wana kesi, basi wasingetolewa kwa vile tu Rais amebadilika.

Kwa sasa hakuna linalofanyika, liwe jema au baya, bila hiari ya Rais. Na juzi jaji mkuu akakazia kuwa majaji wanapotoa hukumu wasiangalie tu sheria inasema nini bali waangalie pia mahitaji ya mihimili mingine, na kwa vile mihimili yote practically imekufa, alimaanisha majaji waangalie Rais anataka nini.

Mbowe atafungwa au kuachiwa, kutegemea Rais, kama mhimili, atataka nini. Majaji na mahakimu wamekuwa visemeo tu vya mhimili mpya, wa RAIS.

Taifa lipo kwenye hali ngumu sana kwa sababu lipo kwenye maamuzi ya mtu mmoja ambaye kikatiba wala siyo miongoni mwa ile mihimili mitatu, yeye ni kiongozi tu wa mhimili mmoja.

Tupiganie tupate katiba mpya au tuishi kama mbwa au paka anayependwa au kuchukiwa na bwana wake.
Ni sahihi tukiuita mhimili huo mpya kwa jina la Samiah Salehe Suluhu Hassan makapeti ?
 
Umesema vyema sanaaa...
Masheikh wa uamsho (wazenji) wameachiwa kesi ya ugaidi kwasasa wamevalishwa mbowe na wenzie (wabara)... TAFAKARI!!!
 
Tunapofika mahali tukaacha kujadili uzi uliopo mezani na kuanza kulumbana kwa maneno ya kuhudhi ,kiukweli haileti picha nzuri. Iko wazi kuwa hatuwezi kukubaliana kimawazo na kimtazamo humu lakini tofauti hizo zijengwe via hoja na sio matusi na maneno ya kuhudhi. Kwakweli si jambo jema watu badilikeni ni aibu ma great thinker hawawi hivyo.
Umenena vema sana
JF palikuwa ni mahali patakatifu kwa kubishana, kukosoana, kuangana mkono kwa hoja. Bahati mbaya, siku zilivyokwenda, waliingia wengi ambao nadhani hawana uwezo wa kujenga hoja au wana uwezo lakini wanafurahia kujitoa ufahamu. Wanachoweza ni kutukana kwa sababu hicho ndicho kilicho rahisi sana kwa mtu ambaye upeo wake na uwezo wake wa kufikiri, ni mdogo. Kutukana, hata mwendawazimu anaweza, lakini hawezi kujenga hoja.

Kuna watu humu, tangu wajiunge, hawajawahi kuleta hoja ya maana wala kutoa mchango wenye hoja. Wao ni kutukana, kukejeli au kuleta mipasho.

Maovu yanayotendwa na watawala na mifumo yetu mibovu, haitawaathiri watu fulani tu, wajue itawaathiri watu wote wa sasa na hata wa vizazi vijavyo.

Magufuli alipoanza kutumia mamlaka yake ya Urais yasiyo na mipaka, hata familia Kikwete na familia yake, Kinana, Makamba, Membe, Lowasa, Sumaye na vigogo wengine wengi waliumizwa hasa mioyoni mwao. Lakini wakiwa kwenye madaraka, waliamini kuwa ubaya wa katiba unagusa kundi fulani tu. Na hata Samia, anaweza kuona hakuna umuhimu wa katiba mpya kwa sababu hii ya sasa inampa uhuru wa kuwa dikteta, asichokijua uhuru huo wa Rais kuwa dikteta, siku moja unaweza kutendeka dhidi yake, wanawe au wajukuu zake.

Jamii Forum, ilistahili pawe mahali pa hoja nzito, siyo majali pa kuleta ushabiki.
 
Nahisi una umri mdogo kuliko wangu au tuko sawa, ila wewe mvivu wa kusoma vizuri history ya nchi hii. Kuhusu mihimi li ya dola na utendaji kazi, kwa umri wangu na wako; Rejea Sheria ya Takrima na msimamo wa Bunge, Mahakama na Serikali.

Rejea,
Maazimio ya Bunge kwa Serikali kuhusu Richmond mwaka 2008 na Operesheni Tokomeza.

Hiyo ni mifano michache, ila soma history vizuri. Mwenzako nasoma kila siku bila uvivu.. kurejea tu mifano hiyo utajua mihimili ya dola Tanzania iko huru.



Tanzania ni nchi ya kidemokrasia.
Wacha uzuzu wewe, viashiria vya demokrasia unavijua wewe "msoma sana"
  • Wananchi wanalilia katiba, wananyimwa
  • Wananchi wanalilia uchaguzi huru, Hanna
  • Wananchi wanataka haki kwawote mahakamani, haipo
  • Bungeni wapinzani wanafurushwa na hawasikilizwi
  • Polisi wanatesa watu nakula marushwa
  • Maendeleo in ajisikiavyo MTU mmoja raisi
  • Wanasiasa wa upinzani kukutana wao au na wananchi marufuku
  • Kujadili katiba nijambo haramu.
  • Wamepotea/wameumizwa watu weee ngi kisa itikadi zao.
pamoja na mengine mengi,tumia kaubongo kako kadogo kufikiri sawasawa
 
Nahisi una umri mdogo kuliko wangu au tuko sawa, ila wewe mvivu wa kusoma vizuri history ya nchi hii. Kuhusu mihimi li ya dola na utendaji kazi, kwa umri wangu na wako; Rejea Sheria ya Takrima na msimamo wa Bunge, Mahakama na Serikali.

Rejea,
Maazimio ya Bunge kwa Serikali kuhusu Richmond mwaka 2008 na Operesheni Tokomeza.

Hiyo ni mifano michache, ila soma history vizuri. Mwenzako nasoma kila siku bila uvivu.. kurejea tu mifano hiyo utajua mihimili ya dola Tanzania iko huru.



Tanzania ni nchi ya kidemokrasia.
Nakubaliana nawe kuwa yawezekana tuna umri unaofanana au kukaribiana ila tunapishana kwenye hoja.

Kiuhalisia, matukio unayoyatolea mfano, kiuhalisia yanategemea kudra za Rais. Hayo uliyoyataja ni kwa sababu tu mtawala wa wakati huo aliamua kuacha mihimili ifanye kazi kwa uhuru, na siyo kwa sababu mfumo wetu wa utawala inailinda uhuru wa hii mihimili mingine.

Anayekuteua, siku zote yupo juu yako. Akikuacha uwe huru, ni hekima yake tu. Akikosa hekima anaweza kuingilia uhuru wako, nawe utakuwa na uwezo mdogo wa kujiweka huru.

Rais Magufuli, kwanza alimteua Juma kuwa kaimu Jaji Mkuu kwa miezi kadhaa. Je, hilo uliwahi kulishuhudia wakati wowote hapa nchini petu au mahali popote Duniani? Unafahamu kilichokuwa kinaendelea wakati anakaimu? Unafahamu ni baada ya kufanya nini, ndipo Magufuli alipomuidhinisha rasmi kuwa Jaji mkuu? Hakuna mhimili ulioharibiwa na marehemu, kama mahakama. Na kuja kuipata tena mahakama Tanzania itachukua muda. Kwa sasa, sina uhakika mahakimu na majaji wangapi ndio halisia, lakini kuna kundi kubwa la maofisa wa TISS wamejazwa mahakamani ili kulinda matakwa ya Rais. Kama una anybody inside the TISS system or judiciary, do your homework.
 
Kinadharia, Tanzania ina mihimili mitatu ya utawala, SERIKALI, BUNGE NA MAHAKAMA.

Kuanzia awamu ya 5, kimamlaka, mihimili yote mitatu imekufa, umezaliwa mhimili mmoja tu, wa RAIS.

Ndiyo maana unasikia Rais ametoa hela, Rais ameiagiza mahakama, Rais amilikemea bunge.

Ukiona kuna mradi mzuri umejengwa kuwahudumia wananchi, ujue ni Rais.

Ukiona watu wasio na hatia wanapigwa virungu, ujue ni Rais.

Ukiona watu wanafutiwa kesi za kubambikiziwa, uje ni Rais.

Ukiona watu wanabambikiziwa kesi na kusoteshwa mahabusu, ujue ni Rais.

Ukiona viongozi wakubwa au wanafungwe au kusoteshwa mahabusu, ujue ni Rais.

Uhuru wa mahakama umeachwa kwa wezi wa kuku, vitunguu na nyanya.

Uhuru wa Bunge, umeachwa katika kuipongeza Serikali tu!

Rais aliagiza akina Rugemarila, wakae ndani, wakaa ndani. Rais mwinhine akaagiza akina Rugemarilla watolewe, wakatolewa. Kama tungekuwa na mahakama, Rugemarilla na wenzake ama wasingesoteshwa mahabusu, au kama wangekuwa wana kesi, basi wasingetolewa kwa vile tu Rais amebadilika.

Kwa sasa hakuna linalofanyika, liwe jema au baya, bila hiari ya Rais. Na juzi jaji mkuu akakazia kuwa majaji wanapotoa hukumu wasiangalie tu sheria inasema nini bali waangalie pia mahitaji ya mihimili mingine, na kwa vile mihimili yote practically imekufa, alimaanisha majaji waangalie Rais anataka nini.

Mbowe atafungwa au kuachiwa, kutegemea Rais, kama mhimili, atataka nini. Majaji na mahakimu wamekuwa visemeo tu vya mhimili mpya, wa RAIS.

Taifa lipo kwenye hali ngumu sana kwa sababu lipo kwenye maamuzi ya mtu mmoja ambaye kikatiba wala siyo miongoni mwa ile mihimili mitatu, yeye ni kiongozi tu wa mhimili mmoja.

Tupiganie tupate katiba mpya au tuishi kama mbwa au paka anayependwa au kuchukiwa na bwana wake.
BANDIKO BORA KABISA! HALI INAYOLIKABILI TAIFA INATISHA, KILA KITU KINATEGEMEA RAIS ANAAMUAJE! SANDUKU LA KURA HALIHESHIMIWI, HATA MPIGE KURA VIPI, ITATEGEMEA RAIS ANAMTAKA NANI! WANDUGU, NINI KITATUNUSURU TUPATE VIONGOZI. TULIOCHAGUA WENYEWE?
 
Nakubaliana nawe kuwa yawezekana tuna umri unaofanana au kukaribiana ila tunapishana kwenye hoja.

Kiuhalisia, matukio unayoyatolea mfano, kiuhalisia yanategemea kudra za Rais. Hayo uliyoyataja ni kwa sababu tu mtawala wa wakati huo aliamua kuacha mihimili ifanye kazi kwa uhuru, na siyo kwa sababu mfumo wetu wa utawala inailinda uhuru wa hii mihimili mingine.

Anayekuteua, siku zote yupo juu yako. Akikuacha uwe huru, ni hekima yake tu. Akikosa hekima anaweza kuingilia uhuru wako, nawe utakuwa na uwezo mdogo wa kujiweka huru.

Rais Magufuli, kwanza alimteua Juma kuwa kaimu Jaji Mkuu kwa miezi kadhaa. Je, hilo uliwahi kulishuhudia wakati wowote hapa nchini petu au mahali popote Duniani? Unafahamu kilichokuwa kinaendelea wakati anakaimu? Unafahamu ni baada ya kufanya nini, ndipo Magufuli alipomuidhinisha rasmi kuwa Jaji mkuu? Hakuna mhimili ulioharibiwa na marehemu, kama mahakama. Na kuja kuipata tena mahakama Tanzania itachukua muda. Kwa sasa, sina uhakika mahakimu na majaji wangapi ndio halisia, lakini kuna kundi kubwa la maofisa wa TISS wamejazwa mahakamani ili kulinda matakwa ya Rais. Kama una anybody inside the TISS system or judiciary, do your homework.
Napenda tunajadili hoja. Sina mtu yeyote ninayemjua wala sihitaji kumjua ndani ya TISS. Napenda tu kusoma historia ya nchi yangu , muundo wa uongozi wa kidola na mihimili yake. Ninachojua mihimili yetu inajiendesha kwa uwiano.
 
Ulichoandika ni ujinga mtupu. Sema ndo hivyo unalinda kibarua chako kisiingie mchanga.
Kwan mkuu c ulitakiwa upinge bandiko lake kwa hoja?? Sasa kama katuandikia ujinga naww pekee ndo umeng'amua huo ujinga ni vzr ukatuelimisha kwa kupinga hoja yake ya kijinga kwa kutupa facts
 
Wacha uzuzu wewe, viashiria vya demokrasia unavijua wewe "msoma sana"
  • Wananchi wanalilia katiba, wananyimwa
  • Wananchi wanalilia uchaguzi huru, Hanna
  • Wananchi wanataka haki kwawote mahakamani, haipo
  • Bungeni wapinzani wanafurushwa na hawasikilizwi
  • Polisi wanatesa watu nakula marushwa
  • Maendeleo in ajisikiavyo MTU mmoja raisi
  • Wanasiasa wa upinzani kukutana wao au na wananchi marufuku
  • Kujadili katiba nijambo haramu.
  • Wamepotea/wameumizwa watu weee ngi kisa itikadi zao.
pamoja na mengine mengi,tumia kaubongo kako kadogo

Wacha uzuzu wewe, viashiria vya demokrasia unavijua wewe "msoma sana"
  • Wananchi wanalilia katiba, wananyimwa
  • Wananchi wanalilia uchaguzi huru, Hanna
  • Wananchi wanataka haki kwawote mahakamani, haipo
  • Bungeni wapinzani wanafurushwa na hawasikilizwi
  • Polisi wanatesa watu nakula marushwa
  • Maendeleo in ajisikiavyo MTU mmoja raisi
  • Wanasiasa wa upinzani kukutana wao au na wananchi marufuku
  • Kujadili katiba nijambo haramu.
  • Wamepotea/wameumizwa watu weee ngi kisa itikadi zao.
pamoja na mengine mengi,tumia kaubongo kako kadogo

Wacha uzuzu wewe, viashiria vya demokrasia unavijua wewe "msoma sana"
  • Wananchi wanalilia katiba, wananyimwa
  • Wananchi wanalilia uchaguzi huru, Hanna
  • Wananchi wanataka haki kwawote mahakamani, haipo
  • Bungeni wapinzani wanafurushwa na hawasikilizwi
  • Polisi wanatesa watu nakula marushwa
  • Maendeleo in ajisikiavyo MTU mmoja raisi
  • Wanasiasa wa upinzani kukutana wao au na wananchi marufuku
  • Kujadili katiba nijambo haramu.
  • Wamepotea/wameumizwa watu weee ngi kisa itikadi zao.
pamoja na mengine mengi,tumia kaubongo kako kadogo kufikiri sawasawa
Kwa kuangalia tu language diction
Wacha uzuzu wewe, viashiria vya demokrasia unavijua wewe "msoma sana"
  • Wananchi wanalilia katiba, wananyimwa
  • Wananchi wanalilia uchaguzi huru, Hanna
  • Wananchi wanataka haki kwawote mahakamani, haipo
  • Bungeni wapinzani wanafurushwa na hawasikilizwi
  • Polisi wanatesa watu nakula marushwa
  • Maendeleo in ajisikiavyo MTU mmoja raisi
  • Wanasiasa wa upinzani kukutana wao au na wananchi marufuku
  • Kujadili katiba nijambo haramu.
  • Wamepotea/wameumizwa watu weee ngi kisa itikadi zao.
pamoja na mengine mengi,tumia kaubongo kako kadogo kufikiri sawasawa
Kwa kuangalia tu DICTION yako hapa, hata mantiki ya demokrasi ina mushkeri kwako.
 
Anateua majaji wote kadri atakavyoona wanastahili na anaweza kulivunja bunge.
Kwani hii katiba mbovu inaruhusu rais kua juu ya mihimili mingine? Na je hiyo mpya iataleta matunda gani? Ndugu mtoa mada.
 
Back
Top Bottom