king'amuzi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 614
- 225
wadau naomba msaada kwa anayejua taratibu za kujiunga na mafunzo ya uhamiaji, na ni muda gani wana recruit watu wa kujiunga na jeshi hilo la police kitengo cha uhamiaji. nashukuru
Thanx mkuuunaweza kutafuta msaada zaidi at training@immigration.go.tz