Tanzania maisha rahisi sana

Msikilize mbunge wenu...


WASIKIZE WENZIO BUDDAH.
USIFANANISHE TZ NA KENYA.
NA TENA HIZO NI GHARAMA ZA MJINI.
UKIENDA MIKOANI MATHALAN TABORA NYAMA KILO 3000TSH.
NA NZURI KABBISA.
SIJUI UNANIELEWA???
 
Vyuma vinakaza Kama kawaida kwa jiwe Nchi ya Asali na Kinyesi 🤣🤣🤣
 
Je kwenu huko ambako watu wamefungiwa ajira unasemaje???
Tanzania mshahara unajitosheleza na mahitaji husika.
Usifananishe maisha ya Tz na kenya.
Kenya mpk watu wana commit suicide tena hususan wanafunzi wa chuo kisa kuhofia ugumu wa maisha.
Manake sio kw ile mishahara yenu...nineamini sasa km maisha bongo ni magumu...

Bidhaa zimepanda bei mishahara magu kabana kuipandisha...vyuma vitaendelea kukaza nakwambia
 
Kawaida je ninyi mara ngapi kwenu mwalalamikiwa ugumu wa maisha???
Ana haki ya kuongea ana uhuru wa kuongea muache.
Ila ninyi raia wanachoshwa mpk kuongea hadharani.


 
Usibishe kaka...mishahara bongo kiduchu,
Halafu unakuja kumuuzia mtu bidhaa sawia na bei iliyopo kenya....si nikuumizana tu hko, nakwambia watu wataendelea kulia vyuma vimekaza mpka magu aondoke labda...na bado movie inaendelea, miaka mitatu tu bei za bidhaa ni km tu sawia na kenya, je akimaliza miaka kumi si mtakua km ghana
Je kwenu huko ambako watu wamefungiwa ajira unasemaje???
Tanzania mshahara unajitosheleza na mahitaji husika.
Usifananishe maisha ya Tz na kenya.
Kenya mpk watu wana commit suicide tena hususan wanafunzi wa chuo kisa kuhofia ugumu wa maisha.
 
Bidhaa zimepanda na zitashuka kwasababu ya mazao yamepungua kijana.
Mwaka jana zilishuka baada ya mwaka juzi kupanda kwahyo mavuno yakija zitashuka bei.

Unajidanganya.
Mshahara wa Tz ukiu bajeti unaishi vema kwasababu gharama za maisha hata za pango la kulala ni nafuu kuzidi Kenya acha ubishi.
Usibishe kaka...mishahara bongo kiduchu,
Halafu unakuja kumuuzia mtu bidhaa sawia na bei iliyopo kenya....si nikuumizana tu hko, nakwambia watu wataendelea kulia vyuma vimekaza mpka magu aondoke labda...na bado movie inaendelea, miaka mitatu tu bei za bidhaa ni km tu sawia na kenya, je akimaliza miaka kumi si mtakua km ghana
 
Uko vizuri we jamaa kumbe..kumbe huaga upo mpakani kila leo
Hahahaha, ukifika mpakani Namanga, utakuta MAGARI yanayotoka Tanzania kuja Kenya yamefika kilometers 7 foleni yanaingia Kenya, na kutoka Kenya kuja Tanzania hayazidi kumi. Mwenye akili anajua hiyo inamaanisha nini, Hahahaha.
 
Tuambie kaka yamaanisha nini??
Hahahaha, ukifika mpakani Namanga, utakuta MAGARI yanayotoka Tanzania kuja Kenya yamefika kilometers 7 foleni yanaingia Kenya, na kutoka Kenya kuja Tanzania hayazidi kumi. Mwenye akili anajua hiyo inamaanisha nini, Hahahaha.
 
Kisha mnapiga kelele hapa ya kwamba bongo sisi tuna mazao kibao...halafu kumbe katika bei mnapigwa hvo..

Si heri nchi yangu nitajua bei imepanda kw ajili ya mazao ni kiduchu na tu import sana...

We endelea kumtukuza binadamu tu, hku gharama ya maisha inapanda kw kasi ya ajabu kuliko awamu zote
Bidhaa zimepanda na zitashuka kwasababu ya mazao yamepungua kijana.
Mwaka jana zilishuka baada ya mwaka juzi kupanda kwahyo mavuno yakija zitashuka bei.

Unajidanganya.
Mshahara wa Tz ukiu bajeti unaishi vema kwasababu gharama za maisha hata za pango la kulala ni nafuu kuzidi Kenya acha ubishi.
 
We jamaa mgumu kuelewa.
Bidhaa kwasas Tz hupanda na kushuka man.
Hata mwaka jana zilishuka baada ya mwaka juzi kupanda ni kwasababu ya mavuno.
Mavuno yanapokuwa mengi bei huwa rafiki yanapopungua bei huwa juu.
We jamaa unatumia nn kufikiria???
Kisha mnapiga kelele hapa ya kwamba bongo sisi tuna mazao kibao...halafu kumbe katika bei mnapigwa hvo..

Si heri nchi yangu nitajua bei imepanda kw ajili ya mazao ni kiduchu na tu import sana...

We endelea kumtukuza binadamu tu, hku gharama ya maisha inapanda kw kasi ya ajabu kuliko awamu zote
 
Mi bongo nishawai kuja sana kw bibi yake mamangu..sioni kitu, labda unambie matunda na vinywaji hapo hewaaa nitakuunga miguu haswa
Hahahaha, mnaitamani sana nchi ya maziwa na asali, ndio sababu mnabembeleza tuwaruhusu kuingia bila Passport lakini hatutaki.
 
Kisha mnapiga kelele hapa ya kwamba bongo sisi tuna mazao kibao...halafu kumbe katika bei mnapigwa hvo..

Si heri nchi yangu nitajua bei imepanda kw ajili ya mazao ni kiduchu na tu import sana...

We endelea kumtukuza binadamu tu, hku gharama ya maisha inapanda kw kasi ya ajabu kuliko awamu zote
Hizi akili zenu ndogo zinawapa shida sana,
1) Nchi ambayo ina " the lowest inflation rate in the region.
2)Inaongoza Afrika kwa kupunguza umasikini
3)Inaongoza Afrika kwa matumizi mazuri ya pesa za serikali
4)Inaongoza Afrika katika "Economic inclusiveness index"
5)Inaongoza Afrika katika kupambana na rushwa.

Hivi nchi yenye kufanya vizuri katika hayo yote, vipi tena gharama za maisha ziwe zinapanda?. Inflation rate"
 
Usinichanganye mimi...awamu zilizopita kwani hayakuwepo hayo...
We kubali, magu kaamua kuleta maendeleo kilazima ndio manake akaathiri bei za bidhaa...sio kw kodi zile aisee
We jamaa mgumu kuelewa.
Bidhaa kwasas Tz hupanda na kushuka man.
Hata mwaka jana zilishuka baada ya mwaka juzi kupanda ni kwasababu za mavuno.
Mavuno yanapokuwa mengi bei huwa rafiki yanapopungua bei huwa juu.
We jamaa unatumia nn kufikiria???
 
Waulize wanasiasa wenu
Hizi akili zenu ndogo zinawapa shida sana,
1) Nchi ambayo ina " the lowest inflation rate in the region.
2)Inaongoza Afrika kwa kupunguza umasikini
3)Inaongoza Afrika kwa matumizi mazuri ya pesa za serikali
4)Inaongoza Afrika katika "Economic inclusiveness index"
5)Inaongoza Afrika katika kupambana na rushwa.

Hivi nchi yenye kufanya vizuri katika hayo yote, vipi tena gharama za maisha ziwe zinapanda?. Inflation rate"
 
Back
Top Bottom