Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ati kuunganishwa na service ya tanesco 312600/= ? BS.
Saruji ya dangote 13000. Nani ahangaike na hizo za 20000.
Hao wanocomment ni waongo, duh. Endelea kuwaamini upate faraja moyoni mwako
Mkuu mimi namwogopa Mungu, hii service ya Tanesco kweli ni 300k kama wataeka na nguzoAti kuunganishwa na service ya tanesco 312600/= ? BS.
Saruji ya dangote 13000. Nani ahangaike na hizo za 20000.
Hao wanocomment ni waongo, duh. Endelea kuwaamini upate faraja moyoni mwako
Saruji saruji wengine wananunua jina kitu cha bei nafuu kipo ya nini kununua cha bei juu c wametaka wenyewe kwa ujinga wao kama saruji ya dangote 13000_13500Ati kuunganishwa na service ya tanesco 312600/= ? BS.
Saruji ya dangote 13000. Nani ahangaike na hizo za 20000.
Hao wanocomment ni waongo, duh. Endelea kuwaamini upate faraja moyoni mwako
ILA NDO VIZURI MIMI MIMI MTANZANIA NAPENDA SERA IBADILISHWE ILI KILA CHAKULA KIPANDE KICHUKUE THAMANI YAKE HALISI ILI KULIMA IONEKANE AJIRA KAMA AJIRA ZENGINE ,MAANA SERIKALI WANAVYO SIMAMIA BEI ZA VYAKULA MKULIMA AFAIDIKI NI SAWA ANAFANYA KAZI YA KUWALISHA WANANCHI WAVIVU NA NDIO MAANA TANZANIA ENEO KUBWA SANA LAKINI HALITUMIKI KWA KILIMO KWA SABABU KILIMO KINAONEKANA KAZI YA MTU ALIEPOTEZA DIRA YANI ASIYEKUA NA KAZI NA YOTE HII SABABU YA MAZAO KUTOKUA NA THAMANI KWASABABU SERIKALI INAPANGA BEI . ITIMISHO : MM NAUNGA OJA KUPANDA KWA CHAKULA ILI SEKTA YA KILIMO IWE SEHEMU YA AJIRA TUKIMBILIE HUKO TUKAJIAJIRI HATA MIMI NATAMANI KULIMA MAHINDI ILA SILIMI KWA SABABU NI KAZI YA HASARA HAILIPI BORA UFUTA UNALIPA .
Kiaina umeiweka sawa na unaeleweka ila duh hapo ndio mtatesana zaidi.
Kiaina umeiweka sawa na unaeleweka ila duh hapo ndio mtatesana zaidi.
Sio huu wa REA mkuu, mwambie aombe wa REA adai chenji yake.Mkuu mimi namwogopa Mungu, hii service ya Tanesco kweli ni 300k kama wataeka na nguzo
Kuna nyumba mzee alijenga kule kijijini na amelipia hizo gharama toka mwezi wa 8 na mpaka leo hawajaweka
Kuhusu cement, sijui hao wanaishi mikoa gani, huku bei ya juu ni 16000 Tsh
Wilaya ya rombo mashati,Sio huu wa REA mkuu, mwambie aombe wa REA adai chenji yake.
Ni kijiji gani, mkoa gani huo.
Hakuna kitu Kama hicho umeme Ni Bei nafuu na umesambazwa kote Nchini. Tunawajua wapinzani.Mkuu mimi namwogopa Mungu, hii service ya Tanesco kweli ni 300k kama wataeka na nguzo
Kuna nyumba mzee alijenga kule kijijini na amelipia hizo gharama toka mwezi wa 8 na mpaka leo hawajaweka
Kuhusu cement, sijui hao wanaishi mikoa gani, huku bei ya juu ni 16000 Tsh
Maisha magumu sana kwa hawa, tatizo lao kubwa ni waficha maradhi, huumia kimya kimya maana walishaambiwa watembee kifua mbele wapo kwenye laiti traki.
Kumbe kuna waongoWa tz semeni kabisa km walio komenti ni wapiga dili au wapinzani...huenda ikawa wanampaka matope jiwe kipenzi cha wote tuView attachment 1227087View attachment 1227088View attachment 1227089View attachment 1227090
Ati kuunganishwa na service ya tanesco 312600/= ? BS.
Saruji ya dangote 13000. Nani ahangaike na hizo za 20000.
Hao wanocomment ni waongo, duh. Endelea kuwaamini upate faraja moyoni mwako
Hivi kumbe cost of living Tanzania iko higher than Kenya?Maisha magumu sana kwa hawa, tatizo lao kubwa ni waficha maradhi, huumia kimya kimya maana walishaambiwa watembee kifua mbele wapo kwenye laiti traki.