Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,939
Umempendelea sana mkuu, hawalipwi kwa pambio wanalipwa kwa siku.Sijui atakuwa ni wa ngapi maana toka ajiunge na lumumba buku Saba kuanzia tatehe 12 February 2014 mpaka Jana saa 3.28 ametimiza miaka 14 na siku 17 ya kuishi kwenye kitundu pale lumumba alifanikiwa kuposti mapambio 14,326,000 kwa malipo ya buku Saba kwa kila pambio anaweza kuwa ameingiza
tshs 100,326,000/= tu