Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 746
- 3,058
Mji wa Babati uko katika mchakato wa kulikodisha ziwa Babati kwa kampuni toka China ya XIN SI LUCO Ltd, kuwekeza katika mradi wa ufugaji samaki.
Hatua hiyo inalenga kufufua ziwa hilo ambalo kina chake na viumbe waishio vimeendelea kupungua na kuathiri utalii na maisha ya watu.
Hatua hiyo inalenga kufufua ziwa hilo ambalo kina chake na viumbe waishio vimeendelea kupungua na kuathiri utalii na maisha ya watu.