
- Joined
- Jun 29, 2014
- Messages
- 227
- Likes
- 33
- Points
- 45

Bak byzo I.T
JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2014



Kwa kweli wafanyakazi wananyanyaswa sana, nipo kama inspector upande Wa client, malalamiko kutoka kwa Labourers Wa upande Wa contractor ni mengi sana, Labourer officers saidieni watz
Kwa sababu sheria haifuatwi na vyama vyetu kama TUIKO sijui wako wapi,
Wananchi wasio na elimu kubwa na wamepata ajira kwenye sectors binafsi kwa kweli wanaonewa sanaaaaa.
Wanafanya kazi nje ya muda husika
Mfano: wanafanyakazi siku 6 za wiki kwa masaa 8 la tisa ni lunch
Kwa maana hiyo wanafanya kazi masaa 48 kwa wiki wakati sheria inataka masaa 45 kwa wiki! Na bila overtime
Mishahara wanalipwa chini ya kima cha mishahara ilielekezwa na serikali.
Yapo madudu mengi sanaa na ukitaka evidence nitakuapa.