Jamani kuna sheria pia ya Afya na Usalama mahala pa kazi,'Occupational Health anda Safety Act.''No. 5 ya mwaka 2003,aliye nayo basi tunaomba aiweke hewani watu tujue haki zetu,afya zetu na usalama wetu tunapokuwa kazini.
Jamani kuna sheria pia ya Afya na Usalama mahala pa kazi,'Occupational Health anda Safety Act.''No. 5 ya mwaka 2003,aliye nayo basi tunaomba aiweke hewani watu tujue haki zetu,afya zetu na usalama wetu tunapokuwa kazini.
mkuu nisadieni sheria ya kwenda leave ni siku ngapi na mfanyakazi anawajibika kufanya kazi msaa mangapi kwa siku