Labda hili la watu toka pande mbalimbali za dunia hii kuja kutazama maajabu yetu ndio pato litakayoiokoa nchi hii.Duh! kwa hiyo tunastahili kuja kutazamwa na watalii toka dunia yote na kulipwa kwa hilo?!
Nimelipenda na kulifurahia ajabu NAMBA 7,,,,,,,,
Nimelipenda na kulifurahia ajabu NAMBA 7,,,,,INGAWA NA MENGINE YANA MANTIKI,,,jaman njia tatu enzi ya TIBAIGANA IMEUA WATU HIII,,,,,,,,
Nimelipenda na kulifurahia ajabu NAMBA 7,,,,,,,,
Tanzania ni nchi tajiri sana, tena ingetakiwa kuwa mojawapo ya nchi tajiri duniani. kila mkoa una madini katika ardhi yake ukiachilia mbali vivutio tulivyonavyo. cha ajabu sisi watanzania hatunufaiki na madini tuliyonayo bali tunanyanyasika na kuuwawa mf. nyamongo na bulyankulu. madini pekee yangetosha kuifanya Tanzania kuwa mojawapo ya nchi tajiri lakini ndo nchi ya tatu kwa umaskini.
7. Ni wapi duniani unakuta barabara iliyotengenezwa kwa minajiri ya njia mbili yaani kwenda na kurudi lakini serikali inaamua zigeuzwe ziwe njia tatu yaani mbili za kwenda na moja ya kurudi bila upanuzi wa barabara hiyo kama unabisha nenda Dar ukatembelee barabara ya Ali H.Mwinyi ujionee siasa zinavyoweza kufanya kazi ya kitaalamu hakuna anayeshangaa licha yaugumu kwa magari kushindwa kupishana njia ya kati, pia nauliza ni wapi duniani utakakokuta njia rahisi na salama inayokubalika na askari wa usalama barabarani kuruhusu magari yapite njia zote mbili kuelekea upande moja.