Andindile
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 304
- 16
Habari kutoka Monduri zinadai kuwa halimashauli ya wilaya imeidanganya kamati ya bunge kuhusu mapato na matumizi kwa mara ya pili. Uongo mmojawapo ni kuwa halmashauri hiyo ilitumia sh. 30 million kujenga nyumba ya mwalimu wakati ukweli ni kuwa nyumba hiyo ilijengwa na TANAPA. Halmashauri hawakugharimia chochote bali walipewa ffunguo za nyumba. Cha kushangaza ni kuwa watu hao wafujaji wamesamehewa na kamati ya bunge chini ya yule mbunge maarufu wa kufoji vyeti Samweli Chitalilo na kuwaambia hao watendaji waandae report nyingine kwa mara ya tatu. Adhabu waliyopewa ni kukatwa 15% ya mshahara kwa mwezi mmoja tu.
Je kwa mwendo huu wa kubebana tunakomboka kiuchumi?
habari kamili soma mwananchi 9/4/2009 au www.mwananchi.co.tz
Je kwa mwendo huu wa kubebana tunakomboka kiuchumi?
habari kamili soma mwananchi 9/4/2009 au www.mwananchi.co.tz