Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,663
- 840
Ni lazima na vema kushirikiana na wenzetu. We are not an island. We need them as much as they need usKila taifa lina pambana kivyake, sio lazima Tanzania tushirikiane na nchi zingine haswa zenye mtazamo tofauti na sisi kuhusu ugonjwa huu.
Halafu kichwa cha mada yako na yaliyomo haviendani.
Sent using Jamii Forums mobile app