BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Wanajamvi nimasikitiko yangu kwa nchi yetu hii ya TANZANIA kutokuwa na hata "kanyambizi kadogo tu!" hivi kweli nchi yetu hii inaulinzi gani madhubuti kiasi cha kujiamiki kutokuwa na nyambizi kwa ajiliya usalama wa nchi yetu. Juzi tumekumbwa na na ajali ya meli ya Mv. Spicer tumekosa wazamiaji tumeomba wa South Africa ni jambo la aibu ikiwa tuna chuo cha Marine na kila mwaka kinatowa wahitimu, haijatosha jirani na ndugu wa karibu South Africa imetusaidia wazamiaji haya wamefika wamekuta meli ndio hiyo ipo kwenye kina kirefu ambapo hawana uwezo wa kufikia hapo wanahitaji Nyambizi ya kuifikia meli ili waweze kuopowa Miili ya wapendwa wetu imeshindikana hadi waombe tena Nyambizi nyumbani kwao.
Swali langu ni je miaka 50 ya Uhuru tumeshindwa kununua hata kijinyambizi kidogo tu cha watu hata 10 kweli???
Tanzania inajiamini nini kutokuwa na Nyambizi kwa ajili ya usalama wa nchi. Jeshi la Polisi kitengo cha majini wanafanya nini? ama wao kazi zao ni kuzunguka na boti tu!
Utajiri wote huu tuliopewa na Mwenyezi Mungu tunashindwa kununua NYAMBIZI!
Je! Nyambizi moja inagarimu kiasi gani?
Naomba kuwakilisha!
Swali langu ni je miaka 50 ya Uhuru tumeshindwa kununua hata kijinyambizi kidogo tu cha watu hata 10 kweli???
Tanzania inajiamini nini kutokuwa na Nyambizi kwa ajili ya usalama wa nchi. Jeshi la Polisi kitengo cha majini wanafanya nini? ama wao kazi zao ni kuzunguka na boti tu!
Utajiri wote huu tuliopewa na Mwenyezi Mungu tunashindwa kununua NYAMBIZI!
Je! Nyambizi moja inagarimu kiasi gani?
Naomba kuwakilisha!