chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Kutoka kujenga barabara kwa hela zetu hadi kukopa bila kujenga
Moja ya mikakati aliyotangaza Kikwete baada ya kuingia Ikulu ni kuitoa nchi mahala ilipo na kuifikisha mahali pengine! Je unajua kama ameshalitimiza hilo?
Ametutoa kutoka mchele kilo 01 Tshs 800/= hadi 2500/=, nyama kilo 01 Tshs 2500/= hadi 6000/=, kiberiti Tshs 20/= hadi 150/=, sembe Tshs 250/= hadi 1200/=, kutoka kuwa na ndege 11 za ATCL hadi ndege 1 mbovu, nauli ya daladala kutoka Tshs 150/= hadi 300/=, migomo ya vyuo vya elimu ya juu, walimu hadi madaktari, chaguzi za CCM bila rushwa hadi kutawaliwa na rushwa ile mbaya, kutoka kundi 01 ndani ya CCM hadi makundi 04 yanayopingana hivi sasa.
Hii ndiyo CCM na magamba yao, kwa uchache haya na mengineyo ndiyo yana tuweka hapa tulipo na kuendelea kulitafuna Taifa; unaweza kuongeza mengine ya kweli na ukawatumia watanzania wenzako ndani na nje ya nchi ili waweze kujipanga ili kuweza kuikomboa nchi yao ifikapo 2015.
Moja ya mikakati aliyotangaza Kikwete baada ya kuingia Ikulu ni kuitoa nchi mahala ilipo na kuifikisha mahali pengine! Je unajua kama ameshalitimiza hilo?
Ametutoa kutoka mchele kilo 01 Tshs 800/= hadi 2500/=, nyama kilo 01 Tshs 2500/= hadi 6000/=, kiberiti Tshs 20/= hadi 150/=, sembe Tshs 250/= hadi 1200/=, kutoka kuwa na ndege 11 za ATCL hadi ndege 1 mbovu, nauli ya daladala kutoka Tshs 150/= hadi 300/=, migomo ya vyuo vya elimu ya juu, walimu hadi madaktari, chaguzi za CCM bila rushwa hadi kutawaliwa na rushwa ile mbaya, kutoka kundi 01 ndani ya CCM hadi makundi 04 yanayopingana hivi sasa.
Hii ndiyo CCM na magamba yao, kwa uchache haya na mengineyo ndiyo yana tuweka hapa tulipo na kuendelea kulitafuna Taifa; unaweza kuongeza mengine ya kweli na ukawatumia watanzania wenzako ndani na nje ya nchi ili waweze kujipanga ili kuweza kuikomboa nchi yao ifikapo 2015.
wewe mshahara wako wa enzi zile ni sh.ngapi???na sasa umeongezeka kwa sh.ngapi????Namba zako ulizoandika hapo hazina maana yeyote kama hutafanya comparison na kiwango cha mshahara wa wakati ule na wakati huu. Fanya hayo kwanza ndio watu waweze kujadili hoja yako tuone kama ina thamani ya kuwa hapa.
Moja ya mikakati aliyotangaza Kikwete baada ya kuingia Ikulu ni kuitoa nchi mahala ilipo na kuifikisha mahali pengine! Je unajua kama ameshalitimiza hilo?
Ametutoa kutoka mchele kilo 01 Tshs 800/= hadi 2500/=, nyama kilo 01 Tshs 2500/= hadi 6000/=, kiberiti Tshs 20/= hadi 150/=, sembe Tshs 250/= hadi 1200/=, kutoka kuwa na ndege 11 za ATCL hadi ndege 1 mbovu, nauli ya daladala kutoka Tshs 150/= hadi 300/=, migomo ya vyuo vya elimu ya juu, walimu hadi madaktari, chaguzi za CCM bila rushwa hadi kutawaliwa na rushwa ile mbaya, kutoka kundi 01 ndani ya CCM hadi makundi 04 yanayopingana hivi sasa.
Hii ndiyo CCM na magamba yao, kwa uchache haya na mengineyo ndiyo yana tuweka hapa tulipo na kuendelea kulitafuna Taifa; unaweza kuongeza mengine ya kweli na ukawatumia watanzania wenzako ndani na nje ya nchi ili waweze kujipanga ili kuweza kuikomboa nchi yao ifikapo 2015.
wewe mshahara wako wa enzi zile ni sh.ngapi???na sasa umeongezeka kwa sh.ngapi????
Kuongeza ajira....................... Vijana wanazidi kusota mtaani
Kiuyahaki:
Hapo kwenye nyekundu umetumia vigezo gani? Una uhakika gani kuwa hiyo haitokani na "time value of money"? Ni miaka saba sasa imepita tangu achukue madaraka, wewe unataka purchasing power ya sh 800/= leo iwe sawa na 800/= ya miaka 7 iliyopita? Uchumi gani huo?
Kaka Ruta hali hii kama itaendelea itawafanya watu wakimbie familia zao.
Unajua kuna wakati nilikuwa nampa wife kiasi fulani cha pesa kwa mahitaji ya ndani (chakula, umeme n'k) ambacho kilitosha mwezi mzima.
Ghafla hela ikawa haitoshi nikafikiri sasa wife kaamua kumjengea babake kibanda, RealMan nikajitosa sokoni mwenyewe. Pressure ikawa inapanda na kushuka kwa kila bidhaa niliyouliza bei. Tuko hapa tulipo kwa sababu tumechagua kuwa hapa na inabidi tuendelee kuwa wavumilivu.
Takwimu za Ndulu ni zakuwafurahisha watawala na wafadhili ndio maana akatunukiwa Gavana bora Africa (kama sikosei). Wanasema inflation has gone down to single digit wakati bei ya chakula imepanda twice as much ilivyokuwa 5yrs back.
Tatizo watanzania hawajatambua siasa inahusika na maisha yao ya kila siku